Taifa limepasuka; wanaopata mkate kutoka serikalini wapo kushiba; wasiopata mkate wanatafuta pakupata mlo

Taifa limepasuka; wanaopata mkate kutoka serikalini wapo kushiba; wasiopata mkate wanatafuta pakupata mlo

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kama Taifa hatupo pamoja; wazee wamegawanyika; huu siyo uhuru wa kuongea ni hasira ya kuyumba kwa misingi yetu.

Mwalimu alituambia tinaweza leo tunaambiwa hatuwezi; wakati tunaamini tunaweza. Tunaamini hatuna mlo tunalazimishwa tumeshiba.

Jk amekwenda kutalii kuvuta attention ya watu kila mtu kapuuza; hotuba za kuteua zimekuwa nyingi; hotuba za kutengua zimekuwa nyingi; wakosoaji wamekuwa wengi hadi tunataka kuwachukua.

Ila hata tukiwachukua wakosoaji hatutaweza kuwapa uhuru walikukosoa.

Tujitathiminj
 
Back
Top Bottom