Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kama Taifa hatupo pamoja; wazee wamegawanyika; huu siyo uhuru wa kuongea ni hasira ya kuyumba kwa misingi yetu.
Mwalimu alituambia tinaweza leo tunaambiwa hatuwezi; wakati tunaamini tunaweza. Tunaamini hatuna mlo tunalazimishwa tumeshiba.
Jk amekwenda kutalii kuvuta attention ya watu kila mtu kapuuza; hotuba za kuteua zimekuwa nyingi; hotuba za kutengua zimekuwa nyingi; wakosoaji wamekuwa wengi hadi tunataka kuwachukua.
Ila hata tukiwachukua wakosoaji hatutaweza kuwapa uhuru walikukosoa.
Tujitathiminj
Mwalimu alituambia tinaweza leo tunaambiwa hatuwezi; wakati tunaamini tunaweza. Tunaamini hatuna mlo tunalazimishwa tumeshiba.
Jk amekwenda kutalii kuvuta attention ya watu kila mtu kapuuza; hotuba za kuteua zimekuwa nyingi; hotuba za kutengua zimekuwa nyingi; wakosoaji wamekuwa wengi hadi tunataka kuwachukua.
Ila hata tukiwachukua wakosoaji hatutaweza kuwapa uhuru walikukosoa.
Tujitathiminj