Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Hao wanandoa wakija kusoma hizi komenti humu wakilinganisha na umaarufi walio nao kule twita sijui watajisikiaje aisee.
 
Kwan hujaona watu walivyokua wanafungua files za huyu Lucy kipindi anasoma pale Green Acres?? Ni shida sana
Sijaona Uzi uko wapi huo?
Maana watu wakifunguka mume ataona huyu mke au public consumption
 
Acha kujipendekeza kwa wanaume bwashee, huyo Gilsant si ajabu hata hakujui ila upo busy humu kumtetea na kulazimisha watu kumjua ilhali hajulikani.Atakuja kukula kitobo,shauri yako sasa. 😂😂😂😂
Wew umeshaliwa mara ngap na shemeji yako pale ambapo dada ako anakuwa hayupo
 
Kifupi ni kuwa simjui,labda huko.mjini ni maarufu..
 
Mbona huku kwetu hao watu hawafahamiki
 
unaweza kuta baada
unaweza kuta baada ya kutoka Airtel saivi upo titisielo mnampa wakati mgumu Mh Kindamba
 
Mkuu umeelezea fresh sana. Shida ya Vijana wa Sasa ni Ushamba na ujuaji mwingii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…