Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Sasa mimi nasubiri msimu nikanunue alizeti Burundi au Singida mwezi wa tano, niweke vijunia vyangu 20 nasubiri kuuza mwezi wa 11 au 12 bei imepanda mara mbili huyo jamaa nitamjulia wapi? Halafu anasema C.E. O roundtable hivi mtu kama Kitana wa mwanza anajua hiyo roundtable inajishughulisha na nini?
Kuitana hawezi kuwa na muda wa kufatilia ushenzi kama huo, na hata huyu anaezungumziwa ni sawa kijakazi wake tu.
 
Umeulizwa, wakati wewe unaolewa ulimkuta jamaa kajipanga kama huyu anaezungumziwa hapa kwenye thread?

Badala ya kujibu unaanza blah blah, au ndo njia uliyoichagua kuhimiza vijana watafute pesa?
Achen ujinga wa kumaliza tu shule twenu huna hata mbele wala nyuma unataka watu wakuchangie ufanye harus kubwa,na ukimaliza hyo harusi unaanza kupiga miayo kama mbwa hata kutafuta hela ya sabuni jero tu huwez,nyambafu

Tena wenye hz tabia ni nyie wenye ushamba wa ku ma unakuta mmezijua ukubwan
 
Mtu akimuhonga mtuwe pia mna mind? Watu humu mbona mna makasiriko Sana...ulitaka akuhonge ww?
Uelewa wako umeishia hapo ulivyoelewa ndo hivyo ..
Sina cha kubishana na wewe ..
 
Umeulizwa, wakati wewe unaolewa ulimkuta jamaa kajipanga kama huyu anaezungumziwa hapa kwenye thread?

Badala ya kujibu unaanza blah blah, au ndo njia uliyoichagua kuhimiza vijana watafute pesa?
Jibu ni kwamba hatutaki kuchangia masikini,kama huna kitu tuliza mku ndu
 
Jibu ni kwamba hatutaki kuchangia masikini,kama huna kitu tuliza mku ndu
Hautaki wewe na nani sasa? Au unamaanisha wewe na hiyo bwanako tajiri?

Nampongeza sana kwakupata mwanamke mchumi na kwenye uchungu na pesa zake kama wewe.Mungu anisaidie nimpate kama wewe.
 
Hautaki wewe na nani sasa? Au unamaanisha wewe na hiyo bwanako tajiri?

Nampongeza sana kwakupata mwanamke mchumi na kwenye uchungu na pesa zake kama wewe.Mungu anisaidie nimpate kama wewe.
Sitaki mimi na huyo shemeji yako unaemtegemea kwa kila kitu,atakuja kuwaoa wewe na dada ako mmuzalie mapacha
 
Embu tutolee uchuro wako hapa, mbona mimj siwamfahamu huyo gillisant na huyo mke wake anafanya biashara ipi ambayo umeamua kumpachika jina la mfanyabiashara mkuwa tanzania?
 
Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo

Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha

Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo [emoji23]
Mbona unalazimisha watu wamjue aisee, wakati watu wa familia yake Wana mjua, na hii ndoa ya promotion kudumu itakuwa kudra za meenyezi Mungu
 
Mbona unalazimisha watu wamjue aisee, wakati watu wa familia yake Wana mjua, na hii ndoa ya promotion kudumu itakuwa kudra za meenyezi Mungu
huu mwandiko ni wa Lucy mwenyewe,wanajipromote
 
IMG_20211031_184032.jpg
View attachment 1994279
 
Back
Top Bottom