Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Kitu pekee nilichoelewa ni kwamba yawezekana ukawa na una uwezo mkubwa sana wa kufanya marketing.

Kuhusu hao watu wengi humu wamekiri kutokuwafahamu, sio kwasababu yoyote ile ni kwasababu circles zinatofautiana, Mtu mwingine circle yake ni ya wauza dhahabu wa geita na kahama, watu fulani hivi wana pesa chafu, mwingine circle yake ni ya wanasiasa tu, au Kwa mfano mimi ni bodaboda, circle inayonifaa ni ya wateja wangu na si hao maCEO.

Je kuna kitu cha ziada ulitaka kutuambia kuhusu wewe. Anyways tuwatakie ndoa na harusi njema.


usihangaishe sana kichwa

Jamaa ni mtu wa digital marketing na ana ushawishi wake twitter, of course couple yao ni maarufu sana twitter na ndoa yao imeisimamisha kiaina

ila ukija kwenye uhalisia, bado sanaa kuwa "celebrities" wa tz kwa sababu watu maarufu wa bongo hii ni aidha uwe kwenye Entertainment industry au siasa.

Hapo utaona mtu kama kigogo, maria Sarungi au Fatma wanatamba twitter ila wanajulikana hadi jf na street kiasi, ila waliopo kwenye technology ambao ndo wengi twitter ni bado sanaaa. Hiki ndicho mleta mada hataki kuamini
 
Unataka connection ya nini, na unafanya nini exactly na what do you need..?
Na mimi naomba connection ya kazi...nina degree ya Public relation na MBA sifanyi chochote nilikuwa mjasiliamali ila kakibanda kangu kamebomolewa
 
Taifa la twiter?
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
 
Hii ndo mibwabwa mivaa kaptula.
Usikute yanapumuliana kisogoni haya kuoa kuzuga tu.
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Who are they?
They are only popular in ur mind,what have they accomplished in business establishment!
Am in business flatenity,but never heard of these guys,probsbly they reside in masasi,or kyelwa,tunduru,
 
Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo

Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha

Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo [emoji23]

Kwani kila alietoka anamjua huyo jamaa yako
 
Kitu pekee nilichoelewa ni kwamba yawezekana ukawa na una uwezo mkubwa sana wa kufanya marketing.

Kuhusu hao watu wengi humu wamekiri kutokuwafahamu, sio kwasababu yoyote ile ni kwasababu circles zinatofautiana, Mtu mwingine circle yake ni ya wauza dhahabu wa geita na kahama, watu fulani hivi wana pesa chafu, mwingine circle yake ni ya wanasiasa tu, au Kwa mfano mimi ni bodaboda, circle inayonifaa ni ya wateja wangu na si hao maCEO.

Je kuna kitu cha ziada ulitaka kutuambia kuhusu wewe. Anyways tuwatakie ndoa na harusi njema.

Sasa mimi nasubiri msimu nikanunue alizeti Burundi au Singida mwezi wa tano, niweke vijunia vyangu 20 nasubiri kuuza mwezi wa 11 au 12 bei imepanda mara mbili huyo jamaa nitamjulia wapi? Halafu anasema C.E. O roundtable hivi mtu kama Kitana wa mwanza anajua hiyo roundtable inajishughulisha na nini?
 
Hahaha hizi comments dah

Ni comments nzuri hawa watu kazi yao kutishatisha watu mara fulani mara vile sasa unaweza kudhani upo nyuma sana kumbe wakiletwa mbele yako wao ni mbugila tu wako nyuma hata hawakufikii, sasa unataka kusema mwamba anaechukua kitunguu mang’ola kwa mwaka mzima yeye anaijua kenya na juba sudani kusini anawafahamu hao ili wamsaidie nini? Wakati huko tu anapiga pesa ndefu kuliko hao tunaolazimishwa tuwafahamu wana connection
 
Back
Top Bottom