domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,548
- 1,729
Pascal Mayalla Paskali, tunazuguka mbuyu, haya mauaji yote, utekaji, upotezwaji and all evils against upinzani, anayeamrisha yote haya anajulikana. Kila mmoja anamjua, na wewe unamjua (tafadhali nyamaza, usijiweke kwenye matatizo kumtaja), na shetani anamjua, na Mungu anamjua, na Pope anamjua wooooooooooooooooooooooooooooooooooooote wanamjua. Ni muda ndio utasema!
Hebu niambieni ni huyo huyo aliyeamrisha kamanda Mawazo auawe, ndiye aliyeamrisha kurushwe bomu kwenye mkutano wa chadema, ndiye aliyemtishia Zitto Kabwe kifo na mhariri yule aliyekuwa mwananchi Dennsi Msacky na niye aliyempoteza Ben Saanane? Miaka yote hii Hugo huyo tu.
Ndiye aliyemng'oa meno Dr Ulimboka?