Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!

Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!

Taifa linaparaganyika na mparaganyi ni mwenyewe halafu anadai "eti aombewe"

Mlikataa kufanya serious vetting mkampa nchi mrundi mnategemea nini? wale hulka ya kuua na roho mbaya kwa ujumla viko damuni mwao. Ni lini ulisikia Burundi kuna amani? hii ndo furaha yao na Tanzania ndo tushaingia huko, si umeona ubaguzi unavyoanza kuota mizizi?
 
Hii nchi kuna mambo makubwa yanaendelea mungu atusimamie yanatisha kama ni kweli watu waliomba mungu awape kiongozi na kiongozi mwenyewe awe na haya huyu atakuwa anatoka kwa shetani
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu uhalifu, wenzetu wakiona chochote kwenye social forum, kama security implications, wanakichukulia very seriously.

Tangu kushambuliwa kwa Tundu Lissu, na watu wasiojulikana, jana kuna bandiko humu, limewataja kwa majina, waliopanga mpango huo, huku wakipanga mipango mingine miovu.

Nawaomba waichukulie taarifa hii hapa if very serious
Ansbert Ngurumo: Taifa linaelekea pabaya sana
Taarifa yenyewe ni hii



Japo mimi binafsi ni kama Tomaso, huwa siziaamini baadhi ya taarifa za wanasiasa kirahisi rahisi, ikiwemo taarifa hii yote hivi hivi ilivyo. Kuna maeneo nakubaliana na Ngurumo, kwa vile licha ya kuwa ni mwanasiasa, pia ni mwana habari, hivyo taarifa hii kihabari ni taarifa muhimu sana kuhusiana na shambulio la Lissu!.

"Wakatoa mfano wa shambulizi dhidi ya Lissu (Dodoma) na mgombea wa Muleba; kwamba walipaswa kufa, lakini waliotumwa *walifanya makosa.*", sorry jamani siiamini kabisa kuwa hiki kilijadiliwa, kwa sababu siamini hawa watu wanaweza kuwa vichaa hivi!.

Sababu ya kutoiamini kauli hii ni kwa sababu inabeba criminal liability za aina mbili
Accessories After The Fact: Lissu ameshambuliwa na watu wasiojulikana, Jeshi letu la polisi limeshindwa kufanya chochote kwa sababu limekosa pa kuanzia baada ya kukosa shuhuda yoyote wa kumuhoji, na kuna camera za CCTV zilirekodi, zimetoweka, hivyo hakuna kabisa pa kuanzia uchunguzi!.

Kumbe kuna watu wamejifungia katika ukumbi wa BOT Mwanza akiwemo RC na RPC ambao ndio walihusika na shambulio lile!.They are all, accessories after the fact, wanapaswa kukamatwa na kuhojiwa kuhusu sambulio la Lissu!.

Kwa vile RPC nae ni mhusika, hivyo hakuna mahali pa kuanzia, ila naamini kwa vile Mwigulu ni member wetu humu, atawatuma vijana wake wakawahoji wahusika waliotajwa, tena nawaomba wasimsumbue kabisa Ngurumo kumtaja source wake, kama ameitoa taarifa hii kwa kofia yake ya uandishi wa habari, kwa sababu sisi waandishi tuna kinga ya kihabari ya "the confidentiality of the source".

Kama ameitoa kama Makamo Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa, alipaswa kesho yake kuondoka Mwanza kwa ndege ya kwanza na kufikia mezani kwa Mwigulu, kisha kwenda mezani kwa Kipilimba kuripoti, halafu ndipo ailete humu!.

Criminal liability ya aina ya pili, ni accessories before the fact, ambapo watu wakubwa, wazito wa mkoa wamekutana kupanga kufanya jinai!.

Any good citizen akisikia ni wajibu wake kuripoti, kwa vile RC na RPC ni wahusika, waliosikia wakaripoti kwa Ngurumo, kwa vile Ngurumo sio Mlinzi wa Amani, tariffs hiyo ni very sensitive ilibidi Ngurumo amuongoze mtoa taarifa wake kwa mlinzi wa amani, Waziri aelezwe, IGP aelezwe, na Amiri Jeshi aelezwe, ili wahalifu hawa, watiwe mbaroni haraka kabla hawajatekeleza jinai hii!.

NB, karibu wote waliotajwa ni wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama, ambao wana mamlaka ya kumkaribisha mtu yoyote kwenye kikao chao hata kama sio mjumbe. Hivyo hii isijekuwa ni leakage ya taarifa ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, imeleak kwa Ngurumo, naye kaileta JF, taarifa za kamati ya ulinzi na usalama ni siri!. Hivyo this leaves much to be desired, kumbe hizi ndizo kazi za kamati zetu za ulinzi na usalama za mikoa!. Nimemkumbuka Kamanda Mawazo!' RIP Kamanda Alphonce Mawazo, damu yako haitapotea bure, sasa imeanza kuchemka na kuibua madudu yanayofanyikaga!.

Ila pia sisi raia wema wa nchi hii, tufanye responsible blogging kwa self censorship ya sensitive info, tuwe makini na waangalifu sana na hizi taarifa za wanasiasa, nyingine ni political capitalization tuu!, tusije tukalishwa matango pori na kuingizwa ...cha kike!.

Kuhusu madudu ya Kamati za Ulinzi na Usalama, nimewahi kuyazungumza hapa TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali Wachunguzwe, Wafumuliwe!

Ila pia niliwahi kutoa tahadhari, sio kila unachosikia lazima ukiseme Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

Paskali
Kwanini unajadili kitu usichoamini[emoji15]
 
Huyu jamaa kwa kutamka hivyo tu alipaswa atuachie ofisi yetu ya Magogoni, kwa kuwa tayari ameabuse power tuliyompa ya kutuongiza bila kujali tofauti zetu itikadi za kisiasa.....

Na kama kweli Bunge letu lingekuwa STRONG kama la South Africa, siku nyingi tu huyu jamaa angekuwa tayari keshakuwa impeached!
Hatuna bunge lenye kuisimamia serikali mkuu, bali tuko na bunge linalosimamiwa na Serikali
 
Yule mzee anaepata usongo wa mawazo kwa kuhonga n kununua wapinzani ndio mhusika 100%,wenzetu wanajenga uchumi sisi tunanunua watu kma biashara ya utumwa..huyu mzee baba kashafeli kila jambo kabakiza kupiga picha makanisani tumuone malaika
 
Mlikataa kufanya serious vetting mkampa nchi mrundi mnategemea nini? wale hulka ya kuua na roho mbaya kwa ujumla viko damuni mwao. Ni lini ulisikia Burundi kuna amani? hii ndo furaha yao na Tanzania ndo tushaingia huko, si umeona ubaguzi unavyoanza kuota mizizi?
Hivi kweli jamaa ni mrundi au maneno tu mkuu?
 
Pale Ikulu kuna mtu aliamuru spika awashughulikie huko bungeni na yeye wakitoka huko bungeni basi huku nje atawashughulikia.

Kuna mtu tena katoa mamilioni cash kwa ajili ya matibabu ya mbongo movie mmoja ila sio kuhimiza Lissu apewe stahiki zake za kitiba,aakiongea anajifanya mcha Mungu ila ni mbaguzi na mvunjanji wa umoja na upendo aliyejaa chuki dhidi ya wenye mawazo tofauti.

Amejivisha uungu mtu na kuwafanya wasaidizi zake Kama Bashite,MMunyeti etc wafanye watakalo huku wakijitamba ni wateule wa Mungu.

Uhuni na uhalifu huu una baraka za boss wao,achilia mbali masheikh wanaopotea kama sindano nyakati za giza huko Zanzibar na siku hizi watu hawaokotwi tena kwenye viroba fukweni mwa bahari.

Awamu ya V-WONDERS!!!
Mkuu ulivyoandika inasikitisha huku ikichekesha.
 
Mkuu pasco tumsifu yesu Kristu

Naomba jibu

Ni wakati gani Ngurumo anakuwa mwanahabari na wakati gani anakuwa mwanasiasa tena kamanda wa chadema kikwelikwelii?

Utamtofautishaje Ngurumo wa siasa na mwanahabari?

Nijibu nirudi kwa mapana
Kama ambavyo ni vigumu kumtofautisha MAGU akiwa rais na wakati akiwa mwenyekiti wa ccm,ni hivyo hivyo kwa ngurumo,
 
We jamaa ni spy? mambo unayoyachokonoa bila woga yumkini pasina shaka we ni shushushu (wakala wa ujasusi)
 
Narration yako makes a big sense! BUT look: Mr, Pascal, usizidi kunipa mashaka! Mauaji, upoteaji, uteswaji, kesi za 'kipuuzi" wanazokutana nazo watu... Rais fulani hajawahi kuzikemea. Yoooooooooooooooooooooooooooooooooote yaliyotokea kwa Lisu sanasana alichojibu ni kuwa yule jamaa amelitelekeza jimbo! Wadau woooooooooooooooooooooote walisema ruhusu uchunguzi huru toka nje watampata aliyempiga risasi Lisu.. he never commented anything! Watu wamekutuhumu, kujibu tuhuma unafanyaje? Unasema Njoo mchunguze then ukweli utapatikana.
Pascal nambie yaliyotokea kwa Lisu kama angalikuwa hana mkono wake asingeruhusu kuona watu wanapoteza CCTV, wanaondoa walinzi, angelisema nataka kujua leo leo nani aliwaondoa walinzi! He never did that..... Maswali ni mengi yanayomwelemea.. irresisitible inference kuwa anahusika...
Ngoja niachie hapa......
Hili ni vizuri kuachia hapa kwasababu whoever who was behind shooting ya Tundu Lissu ni shetani kabisa, the devil in human flesh, mimi siamini tunaye shetani wa aina hii, ila kwa vile sio kila kinachofanywa na serikali lazima kiripotiwe kwenye media hivyo mimi ninaamini 100% chini ya 100% serikali imechunguza, zile CCTV ni nyumba ya Kalemani ila sio CCTV za serikali, naamini hadi Mzee atakuwa ameulizia, na uchunguzi umekwama kutokana na kukosekana mashahidi wawili wakuu ambao ni muhimu sana. Endapo kugetokea fatality kazi ingekuwa well done, by now file lingeisha fungwa, lakini kwasababu mashahidi wapo, wanasubiriwa wahojiwe ndipo uchunguzi uendelee.
P
 
Hili ni vizuri kuachia hapa kwasababu whoever who was behind shooting ya Tundu Lissu ni shetani kabisa, the devil in human flesh, mimi siamini tunaye shetani wa aina hii, ila kwa vile sio kila kinachofanywa na serikali lazima kiripotiwe kwenye media hivyo mimi ninaamini 100% chini ya 100% serikali imechunguza, zile CCTV ni nyumba ya Kalemani ila sio CCTV za serikali, naamini hadi Mzee atakuwa ameulizia, na uchunguzi umekwama kutokana na kukosekana mashahidi wawili wakuu ambao ni muhimu sana. Endapo kugetokea fatality kazi ingekuwa well done, by now file lingeisha fungwa, lakini kwasababu mashahidi wapo, wanasubiriwa wahojiwe ndipo uchunguzi uendelee.
P
Tume ya haki za binadamu haiwezi kuwa na mshango katika hili na mengine?

Kwa bahati mbaya haupitii lkn ulisoma ile tweet y pompeo je, tuhuma hizo ambazo zimekucopied Kwenye balozi zetu, je, Tume pia haikuwa na jukumu kwake?

Tusaidiane
 
Back
Top Bottom