MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Yah salaam wakuu.
Huu muendelezo wa kauli za Lema kwa watu wenye kichwa cha bata wataona jamaa kama anatudharau lakini lahasha jamaa anatupigia alarm tuamke.
Lema anajaribu kutuambia tangu tupate uhuru hakuna kitu cha maana kinafanywa na CCM zaidi ni kutudanganya tu wananchi.
Lema anajaribu kutuambia mafanikio ya nchi na wananchi yanaanzia kwenye taratibu nzuri za uongozi.
Lema anajaribu kutuambia Viongozi wa CCM hawajui kuzitumia Rasilimali ipasavyo na pia wakizitumia basi ni kwa manufaa yao tu.
NAMUUNGA MKONO LEMA .
MUNGU ILINDE CHADEMA.
MUNGU WALINDE WATANZANIA
MUNGU IANGUSHE CCM.
Huu muendelezo wa kauli za Lema kwa watu wenye kichwa cha bata wataona jamaa kama anatudharau lakini lahasha jamaa anatupigia alarm tuamke.
Lema anajaribu kutuambia tangu tupate uhuru hakuna kitu cha maana kinafanywa na CCM zaidi ni kutudanganya tu wananchi.
Lema anajaribu kutuambia mafanikio ya nchi na wananchi yanaanzia kwenye taratibu nzuri za uongozi.
Lema anajaribu kutuambia Viongozi wa CCM hawajui kuzitumia Rasilimali ipasavyo na pia wakizitumia basi ni kwa manufaa yao tu.
NAMUUNGA MKONO LEMA .
MUNGU ILINDE CHADEMA.
MUNGU WALINDE WATANZANIA
MUNGU IANGUSHE CCM.