Taifa lingekuwa na Chombo cha Habari kinachojitambua Habari Uza ya leo ingekuwa ni Kukamatwa kwa Ndege ya ATCL na siyo PhD ya Utu, Huruma na Unafiki

Taifa lingekuwa na Chombo cha Habari kinachojitambua Habari Uza ya leo ingekuwa ni Kukamatwa kwa Ndege ya ATCL na siyo PhD ya Utu, Huruma na Unafiki

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Pongezi zangu nyingi sana na mno GENTAMYCINE nazipeleka kwa Gazeti langu pendwa la The CITIZEN na Mhariri wake Mkuu kwa kuipa Uzito mdogo Habari ya PhD ya Utu, Huruma na Unafiki na kuipa Uzito mkubwa Taarifa Muhimu na Kubwa ya Ndege ya Tanzania (ATCL) Kukamatwa huko ilikokuwa kwa Deni la Shilingi Bilioni 380.

Wahariri wa Magazeti mengine Wao Taarifa Kuu waliyonayo ni ya PhD ya Utu na Huruma huku Wakiipamba kwa Kujikomba (Kujipendekeza) ili Wakumbukwe katika Teuzi na Fursa mbalimbali ila hii ya Ndege ya Walipa Kodi (Watanzania) wapatao 61,741,120 Kukamatwa Kwao siyo Habari Uza na inayohitaji muendelezo wake.

Nikiidharau Media ya TZ huwa sikosei.
 
Enzi ya Kabudi zilikamatwa nyingi na zikaachiwa na kuendelea kupiga kazi.

Sasa hivi tunaambiwa nchi imefunguliwa na mahusiano ya kidiplomasia ni mazuri mno alafu ndege inakamatwa.

Kama Makamba aliweza kuwalipa symbion billion 400 harakaharaka bila kufuata utaratibu walipe tu
 
Pongezi zangu nyingi sana na mno GENTAMYCINE nazipeleka kwa Gazeti langu pendwa la The CITIZEN na Mhariri wake Mkuu kwa kuipa Uzito mdogo Habari ya PhD ya Utu...
Nchi ya kifala sana hii. Wanapeana PhD za kimagumashi kutuziba mdomo swala la ndege.

Wote walio husika na kuipeleka ndege Uholanzi wakati tuliambiwa ndege zote zoko grounded ni nani?

Wote waliohusika wakamatwe na wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na uhaini, wakakae jela maisha
 
Msijadili kuhusu walipoleka ndege huko, jadilini alimfukuza huyo jamaa na kumpola sehemu anayomiliki kihalali hiyo ndio hoja ya musingi
 
Msijadili kuhusu walipoleka ndege huko, jadilini alimfukuza huyo jamaa na kumpola sehemu anayomiliki kihalali hiyo ndio hoja ya musingi
Hyo ukijadili unaonekana unamchukia aliefukuza muwekezaji yaani wanatka lawama wampe samia wakati aliesababisha mwengine wanajizima data
 
Nchi ya kifala sana hii. Wanapeana PhD za kimagumashi kutuziba mdomo swala la ndege.

Wote walio husika na kuipeleka ndege Uholanzi wakati tuliambiwa ndege zote zoko grounded ni nani?

Wote waliohusika wakamatwe na wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi na uhaini, wakakae jela maisha
Mama yenu ameshakuwa Fixed na Mafia aliowakumbatia ndani ya Chama na Serikalini hivyo vumilieni tu huku hata Raia nanyi mkija Kupigwa Mnada kwa Madeni makubwa yajayo.
 
Pongezi zangu nyingi sana na mno GENTAMYCINE nazipeleka kwa Gazeti langu pendwa la The CITIZEN na Mhariri wake Mkuu kwa kuipa Uzito mdogo Habari ya PhD ya Utu, Huruma na Unafiki na kuipa Uzito mkubwa Taarifa Muhimu na Kubwa ya Ndege ya Tanzania (ATCL) Kukamatwa huko ilikokuwa kwa Deni la Shilingi Bilioni 380.

Wahariri wa Magazeti mengine Wao Taarifa Kuu waliyonayo ni ya PhD ya Utu na Huruma huku Wakiipamba kwa Kujikomba (Kujipendekeza) ili Wakumbukwe katika Teuzi na Fursa mbalimbali ila hii ya Ndege ya Walipa Kodi (Watanzania) wapatao 61,741,120 Kukamatwa Kwao siyo Habari Uza na inayohitaji muendelezo wake.

Nikiidharau Media ya TZ huwa sikosei.
Nakuunga mkono Kwa asilimia [emoji817]
 
HII LA PHD LIMEISHA JION HII, KESHO WANALIANZISHA LA DR.BASHIRU ALLY.
 
Back
Top Bottom