Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Madaktari okoeni hili Kolowizards maana linateseka sana na Yanga FC, lisije kujiua bure sababu tu ya kulazimisha furaha kwa Yanga FC kushinda maana mpira huwa hautabiriki.Kiukweli bika kumung'unya maneno, nchi inakwenda kuingia aibu kubwa huko Algeria Leo, wao badala ya kujikita kuhamasishana kuwafunga waarabu, kazi yao kupiga selfie na kurusha kwenye page zao, hakuna wanachokifanya mashabiki huko, mashabiki wa ukweli mmewaacha mmeenda na mabishooo akina Jimmy kindoki.
USM Algeria mkono Yanga 0
Duuuh hadi wewe Mfia dini ile ya ukweli unaongozwa na hisia za vinyongo...[emoji15][emoji848]Kila nikikumbuka matusi wanayotutukana naumia sana.
NINGEPENDA SANA UZALENDO ILA TATIZO WAO NI WASHENZI.
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Yanga mjitahidi kukwepa vipepsi, kipepsi kimoja kinaondoka na meno yote.
sawa mwendazakeKiukweli bika kumung'unya maneno, nchi inakwenda kuingia aibu kubwa huko Algeria Leo, wao badala ya kujikita kuhamasishana kuwafunga waarabu, kazi yao kupiga selfie na kurusha kwenye page zao, hakuna wanachokifanya mashabiki huko, mashabiki wa ukweli mmewaacha mmeenda na mabishooo akina Jimmy kindoki.
USM Algeria mkono Yanga 0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga mjitahidi kukwepa vipepsi, kipepsi kimoja kinaondoka na meno yote.
Ndo maana mashabiki wa Yanga wanalalamika, ndege badala ya kubeba mashabiki inabeba makada wa CCM alafu wanatudanganyaKiukweli bika kumung'unya maneno, nchi inakwenda kuingia aibu kubwa huko Algeria Leo, wao badala ya kujikita kuhamasishana kuwafunga waarabu, kazi yao kupiga selfie na kurusha kwenye page zao, hakuna wanachokifanya mashabiki huko, mashabiki wa ukweli mmewaacha mmeenda na mabishooo akina Jimmy kindoki.
USM Algeria mkono Yanga 0
wewe kwani uko huki? unajua nini kinafanyika huko?kwa akili yako unadhani mikakati ya ushindi inapostiwa kwenye mitandao?Kiukweli bika kumung'unya maneno, nchi inakwenda kuingia aibu kubwa huko Algeria Leo, wao badala ya kujikita kuhamasishana kuwafunga waarabu, kazi yao kupiga selfie na kurusha kwenye page zao, hakuna wanachokifanya mashabiki huko, mashabiki wa ukweli mmewaacha mmeenda na mabishooo akina Jimmy kindoki.
USM Algeria mkono Yanga 0