Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kiukweli bika kumung'unya maneno, nchi inakwenda kuingia aibu kubwa huko Algeria Leo, wao badala ya kujikita kuhamasishana kuwafunga waarabu, kazi yao kupiga selfie na kurusha kwenye page zao, hakuna wanachokifanya mashabiki huko, mashabiki wa ukweli mmewaacha mmeenda na mabishooo akina Jimmy kindoki.
USM Algeria mkono Yanga 0
USM Algeria mkono Yanga 0