KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Hongereni Taifa stars,kwa ushindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezama choo cha kike mwasiti we kula avocado ukalale na tausiHapa lazima mgetutandika...Hebu Imagine mshtuko wa Taifa Stars kupitisha Barabara Kama hizi, so kwa hasira lazi.a wangefanya ma bo Liwe funzo kwa CCM
Wakaanza hapa EAC Biggest and busiest Airport
View attachment 1172302View attachment 1172303
Wakaingia Uhuru highway kwa mshtuko mkubwa kwa vile wamezoea barabara hovyo kule Dar
View attachment 1172304View attachment 1172305
Wakapitia Eastern bypass labda Hii hapa ama
View attachment 1172306View attachment 1172307
Wakapitia Thika Road wakamaka kwa kukenua mdomo
View attachment 1172309View attachment 1172310
Hapa lazima mgetutandika...Hebu Imagine mshtuko wa Taifa Stars kupitisha Barabara Kama hizi, so kwa hasira lazi.a wangefanya ma bo Liwe funzo kwa CCM
Wakaanza hapa EAC Biggest and busiest Airport
View attachment 1172302View attachment 1172303
Wakaingia Uhuru highway kwa mshtuko mkubwa kwa vile wamezoea barabara hovyo kule Dar
View attachment 1172304View attachment 1172305
Wakapitia Eastern bypass labda Hii hapa ama
View attachment 1172306View attachment 1172307
Wakapitia Thika Road wakamaka kwa kukenua mdomo
View attachment 1172309View attachment 1172310
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] Idadi murua kama ya tausi
Tumewabongoleshaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Manyang'au leo yamekimbia hapa jamvini na kwenda kujificha kusikojulikana.
Unatuwekea mapichapicha...Hapa lazima mgetutandika...Hebu Imagine mshtuko wa Taifa Stars kupitisha Barabara Kama hizi, so kwa hasira lazi.a wangefanya ma bo Liwe funzo kwa CCM
Wakaanza hapa EAC Biggest and busiest Airport
View attachment 1172302View attachment 1172303
Wakaingia Uhuru highway kwa mshtuko mkubwa kwa vile wamezoea barabara hovyo kule Dar
View attachment 1172304View attachment 1172305
Wakapitia Eastern bypass labda Hii hapa ama
View attachment 1172306View attachment 1172307
Wakapitia Thika Road wakamaka kwa kukenua mdomo
View attachment 1172309View attachment 1172310
Penalties are pure luck wacha kujitangaza ni kama nyie sasa mshakuja juu kama FC Barcelona. You're still a team of manzeshe slum players.😅😅😅 Idadi murua kama ya tausi
Mjaribu kuangalia Harambee stars players, hizo miguu zao haziko sawa zina jigger!Penalties are pure luck wacha kujitangaza ni kama nyie sasa mshakuja juu kama FC Barcelona. You're still a team of manzeshe slum players.
ngumi ya muoga inauma kinoma, kenya wanaisikilizia tu
Wachezaji wenu ni bogus aiseee yaani katika penalty 6 wamepata penalty 1🤣🤣🤣🤣🤣Penalties are pure luck wacha kujitangaza ni kama nyie sasa mshakuja juu kama FC Barcelona. You're still a team of manzeshe slum players.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Mjaribu kuangalia Harambee stars players, hizo miguu zao haziko sawa zina jigger!