kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Tuache kufikiria watu watasema nn, lakini namna timu inavyocheza inahitaji ongezeko la wachezaji wenye uzoefu pia aina ya Msuva, Manula, Sureboy katika kuamua matokeo pale hali inapokuwa ngumu kwetu.
Hatuna mchezaji kama Kibabage kwenye nafasi Ile anayocheza Kibabage pale Yanga.
Hatuna mchezaji kama Kibabage kwenye nafasi Ile anayocheza Kibabage pale Yanga.