Inashangaza kuona kuwa wakati timu za Mataifa mengine, hata ya Kiafrika, kuja na mwonekano mpya wa jezi za timu zao za Taifa, Taifa Stars imekuwa ikija na jezi za mwonekano huo huo kwa miaka zaidi ya minne mfufulizo.
Inasemekana kuwa TFF ilimpa tenda Kassim Dewji kuivalisha Taifa Stars, lakini sioni mwonekano wa jezi hizo kubalika kila mwaka kama mataifa mengine yanavyofanya, hasa wakati wa mashindano makubwa kama ya Kombe la Dunia na Kombe la Mataifa ya Afrika.
Nashindwa kupata jibu kwamba tatizo Dewji hana wabunifu, au ni nini kinachosababisha Taifa Star kuonekana katika fashio ile ile ya jezi kwa miaka mingi mfufulizo?.
Inasemekana kuwa TFF ilimpa tenda Kassim Dewji kuivalisha Taifa Stars, lakini sioni mwonekano wa jezi hizo kubalika kila mwaka kama mataifa mengine yanavyofanya, hasa wakati wa mashindano makubwa kama ya Kombe la Dunia na Kombe la Mataifa ya Afrika.
Nashindwa kupata jibu kwamba tatizo Dewji hana wabunifu, au ni nini kinachosababisha Taifa Star kuonekana katika fashio ile ile ya jezi kwa miaka mingi mfufulizo?.