Taifa stars ibadilishiwe jina kama mkitaka ahueni.

Mleta mada sijui umewaza nini tu [emoji23][emoji23][emoji23] yani jina tu liifanye tim iweze kushinda!!!
 
TFF badilisheni jina hili mara moja kabla sijawachukulia hatua; ni jina la hovyo na halisaidii kuitanganza nchi. Changueni jina linaloendana na utalii, kwa mfano "Serengeti Kings"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…