TAIFA STARS: IBRAHIM AJIBU NDANI! ABUBAKAR SALUM NDANI! JONAS MKUDE NDANI MATOKEO 0-0 NYUMBANI

TAIFA STARS: IBRAHIM AJIBU NDANI! ABUBAKAR SALUM NDANI! JONAS MKUDE NDANI MATOKEO 0-0 NYUMBANI

Ni kweli kaka ukikumbuka hii team imekaa kama wik moja bad chemistry haikuw nzur ila amunike alikaa na team mwez mzim ila haikuwa na chemistry yoyote

upangwe kundi moja na sadio mane, riyad mahrez na victor wanyama useme timu haina chemistry..

au unafikiri hiki kikosi cha kenya ndio kile kiliyotufunga misri
 
Unamwachaje Kabunda,Balama,Mayanga,Ilamfya,Strikers wa Mtibwa kama Kibaya na mwenzake Kiduku..kweli Matola na Mgunda..hako katoto Kelvin HAWEZI kucheza hata TPL..arrrrggg Wachezaji wa Mikia Wana vitambi ..wanalishwa mbuzi katoliki South kubana matumizi..
Ha haaaa Mikia FC ilijaa 1st 11.
 
Haya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani?
Mje!
Nani hakuwepo leo?
mkuu, mapolisi wa kusaidia Stars-CCM ishinde walikuwa busy kuandaa pingamizi la mkutano wa Mbowe. ndiyo maana!!
 
Hao Kenya situlicheza nao kule Misri wakatupoteza unadhani kwa mpira tuliocheza leo tungecheza kule Misri wangetufunga hawa.
Tumeshindwa nini kuwafunga Uwanja wa Nyumbani? Subiri mechi ya marudiano wanamaliza kazi.Tanzania hamna kitu
 
upangwe kundi moja na sadio mane, riyad mahrez na victor wanyama useme timu haina chemistry..

au unafikiri hiki kikosi cha kenya ndio kile kiliyotufunga misri
Watu hawaoni hayo,wanaona kama kikosi Cha Algeria kinafanana Na Kenya
 
Bocco inabidi asicheze aachie vijana watafute ushindi. Japo ni mfungaji bora wa muda wote lakini ni hatari kutegemea ushindi kupitia yeye. Uwezo bado mdogo sana, aanze Ayee na Nado pale 9&10.
 
Back
Top Bottom