Taifa stars imeshinda, lakini haikustahili, imecheza ovyo sana

Taifa stars imeshinda, lakini haikustahili, imecheza ovyo sana

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Niwapongeze stars Kwa ushindi wa bahati tu
Team imeshinda ila ndo hivo maajabu ya mchezo wa soka. Team dhaifu inaweza kushinda dhidi ya team Bora kabisa
Sisi tusiopumbazwa na ushindi wa ngekewa tunakosowa yafuatayo.

1 Eneo la goal keeper
Sio GK mzuri, hajui kuji position, Haiti mabeki yupo kimya.
Ni dhaifu kwenye kuanzisha mipira. Naiona nafasi ya Manula badala ya Ali Salim

2 Beki Lusajo ni dhaifu mno

Hana nguvu amekata moto mapema. Upande wake ulikuwa uchochoro Kocha aone uwezekano wa kumpa nafasi Paschal Msindo. Napendekeza Kapombe ajumuishwe kwa ajili ya uzoefu.

3. Feisal kafunga goli zuri sawa, lakini hakuwa bora kabisa
Nashauri coach amuanzishe bench

4. Balua kacheza vizuri, lakini imedhihirika yeye bado haya mashindano ya amzidi kiwango

5. Waziri JR, imeonekana daraja lake bado anatakiwa Mbwana Samatta

6. Zimbwe, Baca na Mwamnyeto kazi nzuri ni mabeki Bora kabisa

Nashauri coach awape vijana confidence, wamecheza ovyo, pasi hazifiki.

Physical hawapokei vizuri, waingie gym wafanye tiz la maana

NB: wanasiasa acheni shobo na kiki Kwa Taifa stars, Tunaweza kufuzu bila hamasa zenu fake

PIA SOMA: FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium
 
Niwapongeze stars Kwa ushindi wa bahati tu
Team imeshinda ila ndo hivo maajabu ya mchezo wa soka. Team dhaifu inaweza kushinda dhidi ya team Bora kabisa
Sisi tusiopumbazwa na ushindi wa ngekewa tunakosowa yafuatayo.

1 Eneo la goal keeper
Sio GK mzuri, hajui kuji position, Haiti mabeki yupo kimya.
Ni dhaifu kwenye kuanzisha mipira. Naiona nafasi ya Manula badala ya Ali Salim

2 Beki Lusajo ni dhaifu mno

Hana nguvu amekata moto mapema. Upande wake ulikuwa uchochoro Kocha aone uwezekano wa kumpa nafasi Paschal Msindo. Napendekeza Kapombe ajumuishwe kwa ajili ya uzoefu.

3. Feisal kafunga goli zuri sawa, lakini hakuwa bora kabisa
Nashauri coach amuanzishe bench

4. Balua kacheza vizuri, lakini imedhihirika yeye bado haya mashindano ya amzidi kiwango

5. Waziri JR, imeonekana daraja lake bado anatakiwa Mbwana Samatta

6. Zimbwe, Baca na Mwamnyeto kazi nzuri ni mabeki Bora kabisa

Nashauri coach awape vijana confidence, wamecheza ovyo, pasi hazifiki.

Physical hawapokei vizuri, waingie gym wafanye tiz la maana

NB: wanasiasa acheni shobo na kiki Kwa Taifa stars, Tunaweza kufuzu bila hamasa zenu fake

PIA SOMA: FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium
ushindi ni ushindi tu. Umeshinda kwa penalty, kwa goli la mkono au goli la kuotea, mradi refa aksema mpira uende katikati basi huo ni ushindi tu,
 
Back
Top Bottom