Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
1.Tukianza na eneo la beki upande wa kulia Kibwana ni mfupi,vile vile hawezi kupiga krosi na pasi za akili. Siku hizi beki wa pembeni ni mchezaji muhimu sana katika kuandaa mashambulizi.
2.Beki wa kushoto Tshabalala.Nadhani katumika sana na sasa kachoka. Hachezi kwa kuchangamka km zamani. Anahitaji kupumzika.
3.Job anajituma na mguuni mpira upo ila tatizo lake ni ufupi. Suluhu ni kutafuta beki mrefu. Waganda wanaifahamu hii kasoro ndio maana leo wameitumia vizuri mipira ya juu na kupata goli 2 rahisi kabisa.
4. Mwamnyeto kwangu huyu anamakosa mengi zaidi. Kwanza anacheza kazubaaa sana sio beki mgumu. Pili japo ni mrefu lakini haruki mipira ya juu inapita tuu.Tatu anabutua sana mipira bila kuangalia anampa nani.
5. Eneo la katika tuna viungo wanaocheza square basi nyingi. Fei,Mzamiru,mkude,na Sure boy wote si viungo wanaoforce kwenda mbele.
6.Timu haijui kukaba. Yaani tukipoteza mpira timu in inakuwa very disorganized tofauti na wenzetu Waganda. Timu ikopoteza mpira tu ghafla kila mtu anakaa kwenye eneo husika na wanaanza kukaba kwa space na hata man to man.
7. Timu haijui kushambulia. Mikimbio ya wachezaji wetu inatabirika sana. Yaani akiwa na mpira unajua kabisa wapi atapeleka.Pia kujipanga hawajui ndio maana papatu papatu ni nyingi.
Binafsi haya ndo mapungufu machache nilioyaona. Tuendelee na mjadala wa wachezaji wa kigeni.
2.Beki wa kushoto Tshabalala.Nadhani katumika sana na sasa kachoka. Hachezi kwa kuchangamka km zamani. Anahitaji kupumzika.
3.Job anajituma na mguuni mpira upo ila tatizo lake ni ufupi. Suluhu ni kutafuta beki mrefu. Waganda wanaifahamu hii kasoro ndio maana leo wameitumia vizuri mipira ya juu na kupata goli 2 rahisi kabisa.
4. Mwamnyeto kwangu huyu anamakosa mengi zaidi. Kwanza anacheza kazubaaa sana sio beki mgumu. Pili japo ni mrefu lakini haruki mipira ya juu inapita tuu.Tatu anabutua sana mipira bila kuangalia anampa nani.
5. Eneo la katika tuna viungo wanaocheza square basi nyingi. Fei,Mzamiru,mkude,na Sure boy wote si viungo wanaoforce kwenda mbele.
6.Timu haijui kukaba. Yaani tukipoteza mpira timu in inakuwa very disorganized tofauti na wenzetu Waganda. Timu ikopoteza mpira tu ghafla kila mtu anakaa kwenye eneo husika na wanaanza kukaba kwa space na hata man to man.
7. Timu haijui kushambulia. Mikimbio ya wachezaji wetu inatabirika sana. Yaani akiwa na mpira unajua kabisa wapi atapeleka.Pia kujipanga hawajui ndio maana papatu papatu ni nyingi.
Binafsi haya ndo mapungufu machache nilioyaona. Tuendelee na mjadala wa wachezaji wa kigeni.