Taifa Stars kuelekea Benin kucheza mechi ya kufuzu kombe la Dunia

Taifa Stars kuelekea Benin kucheza mechi ya kufuzu kombe la Dunia

Jimmy MUsa

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2020
Posts
235
Reaction score
170
IMG_0673.jpg
 
Kwa hiki kikosi sijui!

Kibwana mzuri sijui kwanini hajaitwa. Lafu huyo Kabwili sijui wa nini
 
Star's watacheza mechi mbili na Benin ambazo zitaamua hatma yao maana baada ya hizo mechi mbili inakuwa imebak mechi moja kila laher Taifa stars
 
Star's watacheza mechi mbili na Benin ambazo zitaamua hatma yao maana baada ya hizo mechi mbili inakuwa imebak mechi moja kila laher Taifa stars
Ni Mbili baada ya hizi.Away vs Madagascar na Home Vs Congo
 
Back
Top Bottom