Taifa stars kumenyana na Rwanda-Amavubi CCM Kirumba!

Taifa stars kumenyana na Rwanda-Amavubi CCM Kirumba!

Jamal Malinzi

Nyinyi ni viongozi wa ajabu sana ambao macho yenu yana cover ya ndui isiyoona mbali. Mnafanya mambo kipumbavu sana kiasi kwamba hakuna la maana lolote ndani ya nchi upande wa soka. Hakuna lolote tangu uingie ni mavi mavi tu. Samahani nakupa tu ukweli maana vichwa vyenu vimejaa sugu masikio yana gundu hata hamuwezi kusikia, shenzi sana.

Hivi hii nchi nzima yenye mikoa zaidi ya 22 hamuwezi kutafuta wafadhili nje wawape pesa mzitumie kutafuta vipaji kuanzia ngazi ya kijiji kwa mchujo mpaka taifa? hamuwezi kushindwa kupata 11 wachezaji wakali sana kuliko mnavyookota wachezaji wasasa hivi. Yaani usimamizi mkali ufanyike kusaka 11 nchi nzima tukose kweli timu ya kuifunga spain? Kwa taarifa yako kuna vipaji sana nchi hii vya soka tatizo mmeviweka matakoni tu. Mmenikera sana eti timu ya taifa ya maboresho nyoooo, fanyeni kwa kumaanisha acheni utani.

Majaribu2013 what is the point kujificha nyuma ya pazia la ID na kutukana badala ya kujenga hoja? Ungekuwa hujatumia lugha ya kejeli na matusi ningekufafanulia kila uliloliona haliko sawa lakini i won't.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Malinzi, hili wazo lenu si baya sana lakini sisi wapenzi wa soka tunaona sio la lazima kwa sasa. Wekezeni tu ktk mpira wenyewe kama vile kuaanzisha mashindano ya vijana wadogo au kuwa na kituo kama kile kilichopotea cha TSA. Au basi kuzeni zaidi brand ya Ligi Kuu na Ligi daraja la kwanza pesa itakuja tu kupitia viingilio na udhamini.

Bora hata mngelirudisha kombe la Nyerere ili wachezaji wacheze mechi nyingi kuliko kuanziasha maduka. Kama FIFA hailazimishi kuwekeza ktk hicho kinachoitwa 'income generation projects' kuwa ni maduka basi achaneni nayo na wekezeni ktk mpira wenyewe. Ni ushauri tu.

After all, je kuna mifano ya mafanikio yoyote ktk miradi hii huko nyuma? Maana kwa nchi ulizozitaja kama Mauritania naona afadhali ya sisi.

BabaKiki yote uliyoyataja hapo juu yanarudi na bado tutawekeza Karume.Kombe la Nyerere linarudi (FA cup),regional sports centres zinaanzishwa nchini kote,youth tournament U13 itafanyika April na pia uwekezaji utafanyika Karume.Inshallah baada ya Taifa cup ya wanawake kumalizika tutarudisha Taifa cup ya wanaume,lengo ni kuibua vipaji lakini pia kuhakikisha mpira unachezwa nchini kote.
 
Last edited by a moderator:
Majaribu2013 what is the point kujificha nyuma ya pazia la ID na kutukana badala ya kujenga hoja? Ungekuwa hujatumia lugha ya kejeli na matusi ningekufafanulia kila uliloliona haliko sawa lakini i won't.

Si vizuri kutumia ID zetu vibaya kwa kutukana na kukejeli.Kama kuna sehemu pana makosa nadhani muungwana hutumia busara kuelekeza na si matusi.

Labda mkuu Malinzi,kuna utaratibu gani wa ninyi kama shirikisho kuwa na kituo mnachomiliki wenyewe kwa ajili ya kutunza vijana hawa wenye vipaji mnaowaibua?Maana tumeshuhudia mnaanzisha mashindano mengi ya kuibua vipaji lakini huwa hatupati feedback ya maendeleo yao au wapi walipo baada ya mashindano.

Mwisho,naamini nje ya mipaka ya Tanzania kuna wachezaji wengi tu wanacheza mpira(wengine mpaka ligi ndogo za ulaya),je TFF mna takwimu za wachezaji wangapi wanaocheza soka nje na je mmeshajaribu kuzungumza nao kuwashawishi waje kuchezea timu yao ya Taifa?

Ahsante!
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nikupe pole kwa majukumu mazito na matusi ya baadhi ya members humu wasio kua na malez ya pande mbili,ni ngumu sana kuongoza watu wazima wala usife moyo.kazi yako tunaiona na tunakupongeza sana..
kuhusu timu ya taifa,sioni sababu ya kuchoma pesa kuangaika kutafuta vipaji nchi nzima wakati tiar kuna mashindano ya copa coca cola,nadhani haya mashindano yanawashirikisha vijana kutoka nchi nzima,hivo tungewatumia hawa hawa kuliko kuangaika na vijana ambao baadhi yao utakuta waliachwa na timu zao za mikoa ktka mashindano ya cop coca cola...yangu ni hayo tu..
 
BabaKiki yote uliyoyataja hapo juu yanarudi na bado tutawekeza Karume.Kombe la Nyerere linarudi (FA cup),regional sports centres zinaanzishwa nchini kote,youth tournament U13 itafanyika April na pia uwekezaji utafanyika Karume.Inshallah baada ya Taifa cup ya wanawake kumalizika tutarudisha Taifa cup ya wanaume,lengo ni kuibua vipaji lakini pia kuhakikisha mpira unachezwa nchini kote.
Mkuu Jamal Malinzi,
Ni mara ngapi umekuwa ukituambia kuhusu mashindano ya FA kuwa yataanza mwezi fulani lakini wapi!!! na leo tena unatuambia eti yatafanyika tunajipanga?? kwa mfumo huu wa kuongea kwenye media tu na kwenye mipango yenyewe hamna kitu ni bure kabisa,. maneno mengi bila mipango ni unafiki.
 
Last edited by a moderator:
Majaribu2013 what is the point kujificha nyuma ya pazia la ID na kutukana badala ya kujenga hoja? Ungekuwa hujatumia lugha ya kejeli na matusi ningekufafanulia kila uliloliona haliko sawa lakini i won't.

Soka haliwezi kuendelea kama bado Uyanga na Usimba umewajaa vichwani mwenu.Timu ya Taifa inachaguliwa kwa mashinikizo ya viongozi,badala ya kocha kupewa Uhuru.Tena timu ya Taifa imejaa wachezaji wanaokalia benchi kwenye timu zao,maana siku hizi vilabu vingi wanaocheza kwenye vikosi vya kwanza ni raia wa kigeni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom