Taifa Stars kushinda: Is it a fluke?

Taifa Stars kushinda: Is it a fluke?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Kwanza naipongeza sana Taifa Stars kwa ushindi wa uhakika na kuingia ngazi kubwa zaidi katika mashindano ya AFCON.

Pamoja na pongezi hizo za juhudi binafsi ya wachezaji na kocha wao, mi naona ni kama kipofu kaona mwezi!

Ushindi unatakiwa kuwa endelevu na baada ya mipango thabiti na mazoezi ya miaka mingi.

Tanzania tufikirie kuwa na Sports Academies za kuchukua vijana toka wakiwa miaka 12 au 13.
Kijana akifundishwa miaka 4 ana kuwa mchezaji mzuri kama kina Mbape, miaka 16 au 17

Kijana akitumika vyema kwenye football pitch, ni kwa miaka takriban 5.

Kwa mpangilio huu sioni namna ya kushindwa owe AFCON, World Cup au mechi zozote

Ndio maana nasema huu ushindi wa jana ni fluke , bahati ya mtende au kipofu kuona mwezi
 
Nilimshangaa yule mshamba anaeshangilia mpira na manguo ya ajabu ajabu na likofia kama kibandiko. yaani tumepata kuongozwa na mtu wa ajabu sana. pongezi zote amelazimisha zielekezwe kwake badala ziende kwa vijana waliotoa jasho uwanjani
 
Uganda wametubeba tu sababu wao walishapita, ingekuwa game ya wao kupigania nafasi wangetuchapa nyingi sana maana mpira tunacheza timu ovyo kabisa. HukoAfcon naona aibu tu labda rutafute kocha mpya team ianze kujengwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile Taifa Stars ya Maximo ndio ilikuwa yenyewe, kwa maana ya mipango ambayo ilikuwa inafanyika bahati mbaya Disco likaingia Mmasai.
 
Ngoja kwanza tusherehekee ushindi. Hayo mengine yatafahamika huko huko Misri. Mbona tunafahamu sisi tuna kipaji cha ubabaishaji na kila jambo kwetu huwa tunatanguliza siasa.
 
Tungeshindwa kupita na kwenye hili baada ya AFCON kuongezewa TIMU ingebidi tujiuzulu mpira tucheze BAO, kwa kiwango chetu hiki hiki kidogo inabidi tusikose AFCON tena. Mashindano haya kufuzu sio ngumu kama zamani tena kwanza ingebidi tufaulu mapema sio kwa kusubiri mechi ya kutegemea wengine wanafanya nini..., Sio kweli kwamba kiwango kimeongezeka bali ugumu umepungua Lets call A Spade a Spade
 
Kwanza naipongeza sana Taifa Stars kwa ushindi wa uhakika na kuingia ngazi kubwa zaidi katika mashindano ya AFCON.

Pamoja na pongezi hizo za juhudi binafsi ya wachezaji na kocha wao, mi naona ni kama kipofu kaona mwezi!

Ushindi unatakiwa kuwa endelevu na baada ya mipango thabiti na mazoezi ya miaka mingi.

Tanzania tufikirie kuwa na Sports Academies za kuchukua vijana toka wakiwa miaka 12 au 13.
Kijana akifundishwa miaka 4 ana kuwa mchezaji mzuri kama kina Mbape, miaka 16 au 17

Kijana akitumika vyema kwenye football pitch, ni kwa miaka takriban 5.

Kwa mpangilio huu sioni namna ya kushindwa owe AFCON, World Cup au mechi zozote

Ndio maana nasema huu ushindi wa jana ni fluke , bahati ya mtende au kipofu kuona mwezi
Huujui mpira bora ungejikita kwenye mada nyinginezo. Kama ni fluke kwanini Uganda hawakutufunga kwao?.

Inawezekana Uganda hawakuwa na cha kupoteza, pia ukumbuke kuwa mpira ni sayansi. Hawa kina Samatta, Msuva na Ulimwengu ni kizazi kilichopitia angalau katika mafunzo ya soka ya utotoni.

Mtanzania ni binadamu wa kipekee, haoni aibu kuichukia au kuisimanga nchi ambayo Baba na Mama yake wamezaliwa na kumkuza yeye.
 
Uganda wametubeba tu sababu wao walishapita, ingekuwa game ya wao kupigania nafasi wangetuchapa nyingi sana maana mpira tunacheza timu ovyo kabisa. HukoAfcon naona aibu tu labda rutafute kocha mpya team ianze kujengwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Uganda hawakutufunga kwao kama kweli wametubeba?. Usijichukie kupita kiasi mkuu.
 
Huujui mpira bora ungejikita kwenye mada nyinginezo. Kama ni fluke kwanini Uganda hawakutufunga kwao?.

Inawezekana Uganda hawakuwa na cha kupoteza, pia ukumbuke kuwa mpira ni sayansi. Hawa kina Samatta, Msuva na Ulimwengu ni kizazi kilichopitia angalau katika mafunzo ya soka ya utotoni.

Mtanzania ni binadamu wa kipekee, haoni aibu kuichukia au kuisimanga nchi ambayo Baba na Mama yake wamezaliwa na kumkuza yeye.
Naungana nawe!
 
Huujui mpira bora ungejikita kwenye mada nyinginezo. Kama ni fluke kwanini Uganda hawakutufunga kwao?.

Inawezekana Uganda hawakuwa na cha kupoteza, pia ukumbuke kuwa mpira ni sayansi. Hawa kina Samatta, Msuva na Ulimwengu ni kizazi kilichopitia angalau katika mafunzo ya soka ya utotoni.

Mtanzania ni binadamu wa kipekee, haoni aibu kuichukia au kuisimanga nchi ambayo Baba na Mama yake wamezaliwa na kumkuza yeye.
Kushinda Stars bado ni kibahati bahati.

Hujajibu mada kwa kuanza mipango kuwafunza vijana toka miaka 12 ,kwa miaka 4.
Hili linafanyika na watu makini na wanoona mbele.
Si unazi wa siku tatu kabla ya mechi, tukumbuke, unazi haushindi ila mazoezi na mafunzo ya muda mrefu.
 
Kushinda Stars bado ni kibahati bahati.

Hujajibu mada kwa kuanza mipango kuwafunza vijana toka miaka 12 ,kwa miaka 4.
Hili linafanyika na watu makini na wanoona mbele.
Si unazi wa siku tatu kabla ya mechi, tukumbuke, unazi haushindi ila mazoezi na mafunzo ya muda mrefu.
Mkuu unachekesha kwelikweli. Yaani ulikaa nyumbani kwako ukawa na matumaini kabisa kwamba Stars itapoteza mchezo wa jana!. Wasiwasi wangu ulikuwa kule Cape Verde iwapo wangekubali kufungwa na Lesotho.
 
Uganda wametubeba tu sababu wao walishapita, ingekuwa game ya wao kupigania nafasi wangetuchapa nyingi sana maana mpira tunacheza timu ovyo kabisa. HukoAfcon naona aibu tu labda rutafute kocha mpya team ianze kujengwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao walitufunga au walikuwa wamequalify???.wapeni moyo wachezaji..you never know AFCON wakaonekana wachukuliwe Na vilabu vikubwa
 
Nimesikia ati CAF wanafanya uchunguzi! Ni kweli?
 
Back
Top Bottom