The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kila mara inapocheza Taifa stars huwa nashangaa jinsi watu wazima wenye akili wakiwa busy kusubiri kuvuna sehemu ambapo hatujawahi kupanda kabisa.
Binafsi huwa sifatilii kabisa mechi za stars na huwa sishangai tukifungwa, hata kama tukiweza kubahatisha kwenda AFCON tutaenda kufungwa nyingi na kuleta aibu zaidi.
Mpaka hapo tutakapojifunza kupanda kwa kuanza na timu za Taifa under 17 na under 20...tuwekeze huko makocha wazuri na tuwekeze ziweze kushiriki AFCON under 17 na under 20 au world cup under 17 na under 20.
Tukiweza hayo baada ya miaka michache tutakuja kuvuna mafanikio makubwa stars bila kutumia nguvu nyingi, bila ya hivyo matokeo kama ya Leo yatakuwa kawaida kila siku.
Nchi zote zinazofanikiwa zinaanza chini kabisa... Sisi tunataka tuvune huku hatujapanda kabisa.
Binafsi huwa sifatilii kabisa mechi za stars na huwa sishangai tukifungwa, hata kama tukiweza kubahatisha kwenda AFCON tutaenda kufungwa nyingi na kuleta aibu zaidi.
Mpaka hapo tutakapojifunza kupanda kwa kuanza na timu za Taifa under 17 na under 20...tuwekeze huko makocha wazuri na tuwekeze ziweze kushiriki AFCON under 17 na under 20 au world cup under 17 na under 20.
Tukiweza hayo baada ya miaka michache tutakuja kuvuna mafanikio makubwa stars bila kutumia nguvu nyingi, bila ya hivyo matokeo kama ya Leo yatakuwa kawaida kila siku.
Nchi zote zinazofanikiwa zinaanza chini kabisa... Sisi tunataka tuvune huku hatujapanda kabisa.