Wakati kenya wakiwa ufaransa, uganda na ghana wakiwa Dubai toka wiki lililo pita huku wakicheza mechi za majaribio.. Tanzania tumeweka kambi Kunduchi na kutangulia misri kuwasubiri wengine.
Wakati tumu karibia zote zimevalishwa puma au nike au adidas sisi team yetu imevalishwa sijui na kampuni ya kichina etc.
Nadhani hata kocha anajua haki halisi kwamba mambo yanategemea miujiza zaidi.
Lakini kusema ukweli wizara ya kichezo na TFF mmezingua.. sana tena sana.
Mmepeleka timu kinyonge sana..
Kwa kweli tukichukua lile kombe au kuvuka makundi nitajua shetani alisha kufa.