Taifa stars mjifunze kutoka kwa wenzenu wa Uganda Cranes

Taifa stars mjifunze kutoka kwa wenzenu wa Uganda Cranes

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
 
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
Nusura aifunge maaana ake ni ipi??
Tatizo mnapenda mshinde nyie kila siku. GHANA kafungwa KUMAS na Angola. Just imagine, nenda kwenye page za Ghana uone nini wanaComment utagundua sisi akili hatuna bali ni makelele na umbea tuuu.
Timu haijapoteza lkn midomoooooo kila mtu ni Kocha, kila mtu ni mchambuzi, kila mtu ni Mchezaji. Punguzen ujuaji
 
Uganda wapo serious na project zao kwanzia maandalizi hadi jinsi ya kuchagua kikosi chao
 
Sisi tunaandaa AFCON 2027, lakini hadi sasa hakuna maandalizi ya timu, viongozi wanahangaika na kujenga viwanja
 
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
Katika Mchezo wa Soka hasa kwa ngazi za Kitaifa (Nchi) kuwafananisha Uganda na Wapuuzi Jirani ni kama Kuwatusi.
 
Striker mzize?
Majini yanafanya kazi utopoloni tu.wachezaji wakihamia taifa stars wanakwenda kucheza kwa uwezo wao
 
Nusura aifunge maaana ake ni ipi??
Tatizo mnapenda mshinde nyie kila siku. GHANA kafungwa KUMAS na Angola. Just imagine, nenda kwenye page za Ghana uone nini wanaComment utagundua sisi akili hatuna bali ni makelele na umbea tuuu.
Timu haijapoteza lkn midomoooooo kila mtu ni Kocha, kila mtu ni mchambuzi, kila mtu ni Mchezaji. Punguzen ujuaji
Acha mambo ya ajabu.
Timu ikicheza vizuri ikashindwa kupata ushindi kila mtu wa mpira anajua anaridhika hakuna lawama.
Ile mechi na Ethiopia ilikuwa ya kichoko Sana.
Kocha alikosea line up yake.
 
Unajaza wachezaji wa YANGA Taifa stars utapata matokeo,pale Taifa stars hakuna makafara ya kunywa Supu pale ni uwezo tuu
 
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
Niliangalia sehemu ya kipindi cha kwanza wakati RSA Inaongoza kwa goli Moja. Nimewaona Bafanabafana ni wakawaida sana, Cranes walikuwa wanafanya blunder nyingi sana zilizozaa clear chances, wakashindwa kuzitumia.
Ubuntu Botho tunayoambiwa inachangia zaidi ya 80% ya wachezaji wa Bafanabafana, Wasipobadilika Uto watajipigia bila ya hata kutumia nguvu nyingi wakibahatika kukutana nao kwenye CAFCC
 
Timu inayoundwa na hakina kingwendu , bambo , zembwela , senga , joti , mpoki , pembe, mtango n.k inaweza kufuzu kuliko hii inayomtegemea mzize kama streka.
 
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
Mama yupo , Geson msigwa yupo watawapa faraja timu yetu ya taifa imekua yakisiasa sana so tumewaachia serikali iwape motisha
 
Jana usiku kupitia luninga ya AZAM sports one kulionyeshwa mchezo baina ya Uganda Cranes na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.

Kwa kweli Uganda Cranes walionyesha kandanda safi na nusura Timu ya Afrika Kusini wafungwe kwenye mchezo wa Jana.

Hili liwe funzo kwa Taifa stars. Waongeze juhudi wanapokuwa uwanjani na jana kama Taifa stars wangecheza na Uganda cranes wangefungwa si chini ya magoli manne.

Ninamshauri kocha katika mchezo unaofuata asisahau kuwajumuisha Msuva na Samatta.
Hivi Micho bado yupo uganda
 
Sisi tunaandaa AFCON 2027, lakini hadi sasa hakuna maandalizi ya timu, viongozi wanahangaika na kujenga viwanja
Nahisi tutaaibika hata tukiandaa sisi. Tunahangaika na viwanja, lakini team ni zile zile
 
Nusura aifunge maaana ake ni ipi??
Tatizo mnapenda mshinde nyie kila siku. GHANA kafungwa KUMAS na Angola. Just imagine, nenda kwenye page za Ghana uone nini wanaComment utagundua sisi akili hatuna bali ni makelele na umbea tuuu.
Timu haijapoteza lkn midomoooooo kila mtu ni Kocha, kila mtu ni mchambuzi, kila mtu ni Mchezaji. Punguzen ujuaji
unapotoa sare na Ethiopia unategemea utaifunga DRC ? tumia akili yako vzr , Angola anaendeleza , ubabe na hajamuotea Ghana ndio maana hata Ghana hawapigi kelele , sisi tunalip la kujidai nalo mechi zilizobakia ? Uganda kashinda jana , Drc kashinda jana dhidi ya Ethiopia
 
Back
Top Bottom