Naona leo umeaua Makusudically kabisa kututajia Mabwana zako. Hongera.
Taratibu naamini kwann watu wanakuita popomaNaona leo umeaua Makusudically kabisa kututajia Mabwana zako. Hongera.
Hopeless.Taratibu naamini kwann watu wanakuita popoma
Habari yako mzee wa mafuta😂😂😂Achana na Wachambuzi njaa wa Kibongo.
Wao wametanguliza njaa kuliko Uzalendo
Niko salama Mkuu, habari za kwako?Habari yako mzee wa mafuta😂😂😂
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.[emoji23]Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Wachawa mbuziAchana na Wachambuzi njaa wa Kibongo.
Wao wametanguliza njaa kuliko Uzalendo
Wachambuzi wa kibongo wengi ni wanaendeshwa na mihemko zaidi kuliko taaluma.Kumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Kuna ka msemo, uje na mafuta na asali nina kazi navyo🤣🤣🤣Niko salama Mkuu, habari za kwako?
Hapo kwenye mafuta, una maanisha haya ya Dizeli na Petroli ama yale ya Mwamposa? 🤗
Aahaaaaa,kufeni kimya kimyaKumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Popoma maana yake ni GENTAMYCINESorry wadau, Kuna neno hili nakutana nalo mara kwa mara humu JF " POPOMA" , maana halisi ya neno hilo ni nini?