Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Naona huo msemo utakuwa wa Vijana, Mimi nimeshazeeka Mkuu.Kuna ka msemo, uje na mafuta na asali nina kazi navyo🤣🤣🤣
Nimebaki kucheza na Wajukuu zangu tu baada ya kutoka shambani 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona huo msemo utakuwa wa Vijana, Mimi nimeshazeeka Mkuu.Kuna ka msemo, uje na mafuta na asali nina kazi navyo🤣🤣🤣
Wamekuwa bendera fuata upepo.
Cooking oilNiko salama Mkuu, habari za kwako?
Hapo kwenye mafuta, una maanisha haya ya Dizeli na Petroli ama yale ya Mwamposa? 🤗
😅😅🏃🏃🏃Cooking oil
Ngoja aje ayasemee ni yapi😅😅🏃🏃🏃
Algeria wenyewe hawakuwa, siriasiKumbe Ng'ombe wa maskini hazai. Makala ndeefu tulizoandaa kuweka magazetini na mitandaoni tumelazimika Kuzifuta kimyakimya. Mpaka Sasa wengi tuko vitandani hatujaamka tunahisi tukitoka nje tunaonana na Kibu Denis akiwa kashikana mkono na Dickson Job wakituukiza "Mlisema hatufiki mbali hapa ni wapi?"
Taifa Stars nyie siyo wa kutifanyia hivyo Sisi na hadhi yetu! Leo ilikuwa siku ya kukusanya maokoto Kwa kauli mbiu ya "Tulijua tu, kiko wapi?"
Taifa Stars mlichotufanyia Wachambuzi Bora tukajifiche Kizimkazi.
Huyo ni Mtu mmoja, bado zingine kama 7 hivi [emoji1787]
Hapo lazima apige chenga, maana mafuta yale mengine yamepanda bei 😅Ngoja aje ayasemee ni yapi
Na kweli.Wachambuzi wengi wa soka ya Tanzania ni sawa kabisa na waganga wa kienyeji....Hawana leseni, hawana viwango na ni wapigaji....hovyo kabisa....Wamejipachika majina ya 'kipropaganda' sawa na waganga wa kienyeji...utasikia sijui huyu ni Rais wa..., mara sijui huyu ni mkata....mara huyu ni winga....
Watanzania hamuifahamu historia ya Tanzania na Algeria.
Kilichofanyika jana ni diplomasia ya hali ya juu.
Ahsante sana mama Samia.
Wangeshinda Algeria, wala ingekuwa ajabu, si ndiyo kawaida ya kichwa cha mwendawazimu?Uongo huu sio wa kawaida, wangefunga ungeandika nini maana walikuwa wanasaka goli ila hawakulipata.
FaithlessHopeless.
Maana yake ni kubwa jinga. Na ukumbuke ndani ya JamiiForums yote kuna KJ moja tu.Sorry wadau, Kuna neno hili nakutana nalo mara kwa mara humu JF " POPOMA" , maana halisi ya neno hilo ni nini?
Kwa kuwa ni Waarabu.Watanzania hamuifahamu historia ya Tanzania na Algeria. Kilichofanyika jana ni diplomasia ya hali ya juu. Ahsante sana mama Samia.
Usilitaje bure jina la bwana wako