Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisikitike sana mkuu, chukulia kama Simba na Al ahly, walivyo kuja taifa walikaa. Misri alikua na faida ya home ground. Afcon wengine wote tutakua ugenini tofauti na Misri.Dah! Hii stars hii.....!!
Waeleze hao maana kazi yao kukosoa bila kufikirisha vichwa vyao. Misri na kati ya timu zenye mpira mkubwa sana.Usisikitike sana mkuu, chukulia kama Simba na Al ahly, walivyo kuja taifa walikaa. Misri alikua na faida ya home ground. Afcon wengine wote tutakua ugenini tofauti na Misri.
Azam wajinga sana ni mara nyingi tu kukiwa na game wana kick out watu katika App yao sasa hujui nini madhumuni yao ya kuweka App, yaani mechi ya kirafiki tu ya Tz ndio mbwembwe zote hizo sasa wakipata EPL si watazima kabisa App.Azam app ovyo sana. Nadhani watu wakiwa wengi inajam.
walitoka ngap ngap kkShida aisee.
Lakini kawafikisha Afcon na mlikuwa mnamnanga hivihivi.[/QUOTE]Unaweza ukafafanua ni kwa vip star imefika afcon, tumia akili yko kunyumbua alafu urudi tena kuja kuitathmin kauli ykochanaga, post: 31824721, member: 122258"]
Ila kocha wetu ni shida.
Sasa kama wachezaji ngazi ya taifa hawawezi kupiga pasi hill sio tatizo la kocha,Kocha afanyie kazi swala la upigaji pasi timu ata kupiga pasi tano tu ni tatizo..katikati tulimezwa himid inaonyesh ayuko fiti, dakika kumi za mwisho kidogo kulikuwa na ahuen big up mohamed hussen na manula...