The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
Kutokana na matokeo ya jana ya mechi kati ya Taifa stars na Zambia. naomba kuuliza yafuato;
1. Je bao la kusawazisha la Zambia ambalo walilipata katika dakika za nyongeza lilisababishwa na uzembe wa wachezaji wetu?
2. Je wachezaji wetu wa Tanzania ni wazalendo na wanajua kuwa huwa wana liwakilisha Taifa letu kwenye michuano ya kimataifa?
1. Je bao la kusawazisha la Zambia ambalo walilipata katika dakika za nyongeza lilisababishwa na uzembe wa wachezaji wetu?
2. Je wachezaji wetu wa Tanzania ni wazalendo na wanajua kuwa huwa wana liwakilisha Taifa letu kwenye michuano ya kimataifa?