Taifa stars tupeni raha watanzania Leo.....

Taifa stars tupeni raha watanzania Leo.....

kisiki kizito

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
676
Reaction score
858
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
 
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
Umekosa Sehemu Za Kutafutia Raha Mkuu? Hapo Utaambulia Majuto
 
Kwakweli Ni Bora Ukatafute Raha Sehemu Nyingine Sio Kwenye Hili
 
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
tupe mrejesho mkuu
 
Back
Top Bottom