Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Nimekuta MTU kapost kwenye wazo LA Leo kitaaa.... Unasema
"Ni bora kuamini Mungu yupo usimkute kuliko kuamini hayupo ukamkuta".... Ni kijiwe cha michezo sana draft ..karata..bao... Na kuna kibanda umiza ...sasa wakati tunaangalia game ya Swaziland na Nigeria ndio nkaujua ule msemo baada ya mechi kuisha.... Kwamba Tanzania tuamini tutafungwa ili hata kama tusipofungwa Hamna tulichopoteza..... Ila tukiamini tutawafunga tukifungwa ndio kuamini mungu hayupo afu ukamkuta.... Waswahili wana maneno sana...
"Ni bora kuamini Mungu yupo usimkute kuliko kuamini hayupo ukamkuta".... Ni kijiwe cha michezo sana draft ..karata..bao... Na kuna kibanda umiza ...sasa wakati tunaangalia game ya Swaziland na Nigeria ndio nkaujua ule msemo baada ya mechi kuisha.... Kwamba Tanzania tuamini tutafungwa ili hata kama tusipofungwa Hamna tulichopoteza..... Ila tukiamini tutawafunga tukifungwa ndio kuamini mungu hayupo afu ukamkuta.... Waswahili wana maneno sana...