Taifa Stars vs Cape Verde saa ngapi?

walianza kusingizia uwanja wa ndege wakifungwa wasijesingizia uwanja wa mpira😎
 
Startimes hapanaaa hawarushiii hawa jamaaa cjuii wakojee
Hiki king'amuzi kimekua cha hovyo mnooo siku hizi kwanza wameniuzi kile kifurush kilichokua ef18 wamepndsha paka ef21 ukiwapigia wanakuja kirahisi tu eti kinepanda yaaani hovyo kabisa nipo mbion kuwahamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…