Taifa Stars vs Morroco October 9 2010

Status
Not open for further replies.
hi dear brothers i am from Morocco
any one can give me a video or photos about the Moroccan and Tanzanian preparation for sunday game
thanks

Nice to hear from you, I neither have video nor photos. What I have is the results of the game, tell you compatriots that Taifa Stars are mad and will play jihad over Morocco. Do not expect your team to get even a single point. You will never get it. You will be beaten 2-0. Habari ndio hiyo!
 
Wajameni nauliza swali?kama tulivyozoea na kikwete nae atakuwepo?
 
walete..walete....walete hao...MUNGU IBARIKI TAIFA STARS, MUNGU IBARIKI TANZANIA😛ray2:
 
najaribu kutamani kujiliwaza kuwa huenda tukashinda ili siwezi
 



really i respect your team and of course you can imagine this result.
 
Kila la kheri Stars kama tuliweza kuwazuiaAlgeria nyumbani kwao ambao ni wakali zaidi huenda tukafanikiwa kuwabandua hawa ndugu zao, umemsahau Adil taarabt huyu inafaa aangaliwe sana, jamaa ana talent na ni playmaker mzuri sana,jamaa kiwango na ndio amechangia sana QPR kuongoza ligi ya daraja la kwanza msimu huu.
 
Adel Taarabt angalia baadhi ya mavitu ya huyu jamaa.

 
Last edited by a moderator:
Kazi itakuwepo, yule bwamdogo wa washika bunduki Shamakh yuko ndani ya nyumba!
 
Kazi itakuwepo, yule bwamdogo wa washika bunduki Shamakh yuko ndani ya nyumba!

Kwanini mnakuza sana jina la Chamakh? Yule dogo ni nguvu ya soda. Wametoka kupigwa bao mbili kavu juzi tu hapa angekuwa ana ukali wa Drogba si angepiga hata kabao kamoja? Ukuta wa Stars mbona auuongelei kaka? Ulisahau Camerrouni walivyokuwa wakihangaika kuupita mpaka Etoo akampa jezi beki wetu Naroob kuonyesha kuwa ukuta ni wa zege? sidhani Chamakh ana ukali wa Etoo, ajafikia hapo. Chamakh pia na wengi humo kikosini walikuwako wakicheza na Central Afrika kwao, lakini awaku-score. Stars ikicheza katika kiwango chake, na ndivyo naamini itakavyocheza mana wameahidi na pia tuko nyumbani. Uwezo wa kushinda upo ni kwa wachezaji tu kujituma. Hawa waarabu tutawaduwaza! Mungu ibariki Taifa Stars!
 
Namkumbuka huyu mdogo, nilimuona kwenye pre-seasons few years ago alipokuwa Bolton.

Nways, ngojea tuone itakavyokuwa.
 
Swali Muhimu halijapata jibu la Uhakika. Je kuna kituo chochote cha TV cha hapa Nyumbani kitaonyesha mtanange huo Live?? ama Tanzania itakuwa nchi pekee ambayo Timu yake ya Taifa inaweza kucheza mechi ya Nyumbani na hakuna kituo chochote cha TV cha Nyumbani kitnachouonyesha mchezo huo Live??
 
bado kama lisaa limoja tu mtanange uanze, kwa wale wadau tulio nje tupeane link ambazo zitakuwa zikionyesha hiyo mechi maana kuna nyingine huwa zina kwikwi. Kwa atakayepata nzuri atuwekee hapa ili twende sambamba na wenzetu huko home.
 
wakuu tuendelee kupeana updates. Kama kuna mtu yupo uwanjani ingekuwa fresh zaidi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…