Taifa stars vs south Africa ,vilaza wawili wa soka wanaminyana hapo baadae ,

Taifa stars vs south Africa ,vilaza wawili wa soka wanaminyana hapo baadae ,

wp_ss_20170702_0001.png
wp_ss_20170702_0001.png
 
Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.

Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji

Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo

Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.

Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini

Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .

Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Klabu bingwa Africa unaifahamu?
 
Kwa taarifa tu watakaopenda kushuhudia mechi hiyo online , Itazame kwenye Channel ya Online TV Entertainment, kwenye app ya Online TV kama bado hujaidownload bonyeza hapa http://bit.ly/2n5MhHo
 
Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.

Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji

Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo

Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.

Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini

Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .

Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Wewe ndo zaidi ya kilaza mkubwa,ndo umeandika utumbo gani,mijitu isiyo wazalendo siipendi kabisa
 
Wewe ndo zaidi ya kilaza mkubwa,ndo umeandika utumbo gani,mijitu isiyo wazalendo siipendi kabisa
Basi Taifa stars sio vilaza wanaujua mpira sana

Wameshiriki Afcon,worldcup Mara kadhaa ,ni timu tishio Afrika imefika mbali afcon ,nk nk

Hope umeridhika na kufurahi sasa
 
Ni kweli south Africa ni vilaza, tunafanana nao hadi sura, vifupiii
 
Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.

Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji

Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo

Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.

Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini

Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .

Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Kumbe utashangaa tukifungwa!?
 
Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.

Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji

Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo

Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.

Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini

Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .

Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Labda unaiongolea mamelodi sundowns ya mbagala na sio ya south africa..
 
Katika mashindano haya tumepitia kwenye makundi, South Africa wameingia robo fainali moja kwa moja. Hilo nalo linaleta tofauti kubwa tu. Hivyo, tukiwafunga SA tutakuwa tumeifunga moja ya timu bora Africa.
 
Back
Top Bottom