Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo rekodi za zamani weka za sasaBafana bafana wamebeba CAN, England wamebeba World Cup
Super sportsitaonyeshwa channel zipi?
Klabu bingwa Africa unaifahamu?Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.
Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji
Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo
Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.
Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini
Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .
Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
We za zamani unazo !?Hizo rekodi za zamani weka za sasa
Kuna timu za taifa kama zina undugu hivi kwa mbali
Taifa stars
Bafana bafana
Timu ya taifa england
Wewe ndo zaidi ya kilaza mkubwa,ndo umeandika utumbo gani,mijitu isiyo wazalendo siipendi kabisaLeo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.
Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji
Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo
Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.
Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini
Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .
Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Basi Taifa stars sio vilaza wanaujua mpira sanaWewe ndo zaidi ya kilaza mkubwa,ndo umeandika utumbo gani,mijitu isiyo wazalendo siipendi kabisa
12 jioni zbc 2 ndani ya Azam TVHaya, acheni siasa. Mechi sangapi na itaonyeshwa channel zipi? Au ndo Kama ya Mauritius?
12 jioni zbc 2 ndani ya Azam TVMechi inachezwa saa ngap kwa saa za EA?
Kumbe utashangaa tukifungwa!?Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.
Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji
Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo
Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.
Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini
Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .
Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta
Labda unaiongolea mamelodi sundowns ya mbagala na sio ya south africa..Leo vilaza wawili kwenye soka wanakutana kwenye mashindano ya Cosafa.South Africa vs Tanzania.
Bila ya kupindisha maneno kila mmoja anafahamu namna Stars tulivyo vilaza na sio stars tu hata vilabu vyetu vya soka ni vilaza na mara nyingi tumekuwa hovyi kimataifa hali kadhalika kwa S.Africa hawa jamaa hawana tofauti na sisi tunafanana kwa kila kitu sema wao wamebahatika kucheza kombe la dunia na mataifa ya Africa kwa tiketi ya uenyeji
Tukianzia ngazi ya klabu ligi ya south ni ya kawaida na vlabu vyao zinafanya hovyo Caf championship. Msimu wa 2015/2016 kwenye msimamo wa ligi wa South klabu ya Bidvest ilishika nafasi ya 2 na walikutana na Azam kwenye kombe la shirikisho nadhani wengi ni mashahidi tuliona Azam ikiivurumisha Bidvest mabao 3-0 na kuwatupa nje ya mashindano.Timu kama Mamelody pia ni wasindikazi tu na underdogs kwa vilabu vya kaskazini na mengineyo
Turejee kwenye ngazi ya timu ya taifa baada ya kuona ligi ya south na ya Tanzania zinafanana kwa viwango.
Bafana bafana ni moja ya timu iliyojaaliwa jina na pesa kutoka kwa shirikisho lao lenye uwezo lakini ni vilaza hawana mpira wowote na ni underdogs kwa mataifa ya Afrika magharibi na kaskazini
Stars vilaza wa soka tunacheza hapo baadae na vilaza wenzetu south Africa .
Sitoshangaa mechi ikaamuliwa kwa njia ya matuta