TAIFA STARS Vs SUDAN-2nd Leg

TAIFA STARS Vs SUDAN-2nd Leg

Hahaha YANGA timu funga hao sudani warudi kwao wakachimbe mafuta!

LOL! Simba funga Yanga warudi jangwani wakatengeneze Kiwanja na kupaka rangi jengo lao 🙂. Hii inatia moyo kweli maana tunarudi tena kwenye kinyang'anyiro cha kombe la mataifa huru ya Afrika. Itakuwa poa sana kama Serikali itaamua kuwapeleka vijana Brazil wakajichimbie kwa mwezi mmoja tayari kwa mashindano hayo. Hongera sana Taifa Stars
 
duh nilikua so tight kufuatilia kwenye pc abt mpira huo ila nashukuru Mungu tumevuka!

sasa ni mwendo wa more efforts tusiende aibika huko...nt jus to go n participate but tuende kushindana!

duh atleast attention ya wabongo kuleee bongo kwa week hii itahamia kupongeza vijana wetu...mengineyo yoooote as usual yanapigwa pause
 
Hahahahaha mkuu umenifurahisha sana...enjoy your week end!!

Thanks bro,you too maana leo weekend yaenda vizuuuuuri maana furaha ya ushindi wa stars+kabia kabariiiiiiiiidi= Usingizi mwanana(yaani usiku wa leo mtu unayasahau matatizo yote yanayaokukabili)...lol
 
LOL! Simba funga Yanga warudi jangwani wakatengeneze Kiwanja na kupaka rangi jengo lao 🙂. Hii inatia moyo kweli maana tunarudi tena kwenye kinyang'anyiro cha kombe la mataifa huru ya Afrika. Itakuwa poa sana kama Serikali itaamua kuwapeleka vijana Brazil wakajichimbie kwa mwezi mmoja tayari kwa mashindano hayo. Hongera sana Taifa Stars

Hongera sana sana Kondic na Young African. mumefuta aibu ya Tanzania.....
 
n naona humu mwishoni nw tumeanza kurudi kwenye usimba na u yanga...jamani hii si ilikua ni timu ya taifa ama??even if kulikua na mchezaji mmoja tu kutoka mbagala fc alishirikia kuimake timu hiyo n wote kwa ujumla wameshiriki kushinda!

tusiende huko tunakotaka kwenda twapotoshana wandugu!
 
Hongera sana sana Kondic na Young African. mumefuta aibu ya Tanzania.....

Naogope kusema yatupasa kutofautisha ushabiki wa klabu na ushabiki wa timu ya Taifa starsm hata kama 9 ya 10 ya watanzania wanaushabiki wa klabu.
 
n naona humu mwishoni nw tumeanza kurudi kwenye usimba na u yanga...jamani hii si ilikua ni timu ya taifa ama??even if kulikua na mchezaji mmoja tu kutoka mbagala fc alishirikia kuimake timu hiyo n wote kwa ujumla wameshiriki kushinda!

tusiende huko tunakotaka kwenda twapotoshana wandugu!


Hatupotoshani bwana mtaalamu. Ukweli ni kwamba magoli kama siyo yote, basi matano yamefungwa na wachezaji wa Yanga. Nini cha kupotisha hapa? Lazima ukubali facts kuweza kufanya maendeleo.
 
Walau wiki hii tuwe na mengine ya kuongea au ya kujivunia maana kila kukicha sie na bad news tuu.... sijui Mengi, Masha. Mboma, Mramba, Yona et al

Huwa unaboa nayo aaghhh!!!!!!!!!!
 
Hatupotoshani bwana mtaalamu. Ukweli ni kwamba magoli kama siyo yote, basi matano yamefungwa na wachezaji wa Yanga. Nini cha kupotisha hapa? Lazima ukubali facts kuweza kufanya maendeleo.

TUNAPOTOSHANA.....Yanga kama Yanga wameshindwa kufanya kile kilichofanyika leo(mimi ni mnazi hasa wa Yanga)..hata kama timu inaundwa na wachezaji wengi wa Yanga ikumbukwe kuwa pale ilienda kama Taifa Stars na maombi ya waTanzania wote(wakiwemo wanaMsimbazi) yalielekezwa kwao..tubadilike waTanzania jamani maana mojawapo ya sababu kubwa zilizopelekea kudumaa kwa soka letu ni pamoja na mambo haya ya unazi wa Simba na Yanga..tuachane na mambo ya unazi tuweke UTAIFA mbele..Bravo Taifa Stars,bravo Masatu..ALUTA CONTINUA
 
Utendaji mzuri wa makocha wa club za Yanga na Simba na zinginezo na maamuzi sahihi ya kocha Maximo == mafanikio ya stars. Maximo ana pool nzuri sana ya kuchagua wachezaji na kizuri ni ile kuchagua kutokana na vipimo vyake, wala si kupata pressure kutoka kwa mashabiki, viongozi, na media. Nakumbuka wakati fulani kila mtu alimshambulia Maximo kwa kumuuacha kaseja, na kaseja vile vile akafikiria kuwa hapendwi na Maximo hadi pale jamaa alipokuja toa hukumu yake kwamba Golie lazima awe mrefu mwenye mwili, kitu kinachowapa taabu wafungaji na sifa hizo Kaseja hana mbali ya kuwa ni golie mzuri. Mwisho kabisa nawaomba wadau wa michezo wote wakubaliane na uwamuzi wa makocha tunaowaajiri..
 
Walau wiki hii tuwe na mengine ya kuongea au ya kujivunia maana kila kukicha sie na bad news tuu.... sijui Mengi, Masha. Mboma, Mramba, Yona et al

Huwa unaboa nayo aaghhh!!!!!!!!!!

Ila na wewe Msatu tulia. usije kurupuka kwenda kwa jamaa zako kule North Mara na kuvamia migodi bila sababu. Tulia hapo uwe unatupa udates
 
matokeo ndio kama hayo tumevuka

Kwa mujibu wa mwadishi wa nifahamishe.com aliyekuwa Sudan

Stars ilipata bao lake la kwanza katika dakika ya 15 lililofungwa na Henry Joseph kwa shuti kali baada ya Nurdin Bakari

Kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku kila timu ikijitahidi kupata bao la kuongoza, lakini mabadiliko yaliyofanywa na kocha Marcio Maximo ya kumtoa Jerry Tegete na kumuingiza Mussa Hassan 'Mgosi' yaliweza kuisaidia Stars baada ya kupata bao la pili katika dakika ya 70 lililofungwa kwa kichwa na Nurdin Bakari aliyeunganisha krosi safi ya Ngassa aliyonekana kuisumbua ngome ya Sudan.


Taifa stars ilikuwa kama hivi

Stars: Shaban Dihile, Shadrack Nsajigwa, Juma Jabu, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Salum Sued, Geofrey Bonny, Nurdin Bakari/ Kiggi Makassy (dk 80), Henry Joseph, Haruna Moshi ‘Boban’/Athuman Idd (dk 75), Mrisho Ngassa na Jerry Tegete/Mussa Hassan 'Mgosi' (dk 45).

Ukitaka kujua maelezo zaidi ya mechi ya hii gonga hapa NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
 
TUNAPOTOSHANA.....Yanga kama Yanga wameshindwa kufanya kile kilichofanyika leo(mimi ni mnazi hasa wa Yanga)..hata kama timu inaundwa na wachezaji wengi wa Yanga ikumbukwe kuwa pale ilienda kama Taifa Stars na maombi ya waTanzania wote(wakiwemo wanaMsimbazi) yalielekezwa kwao..tubadilike waTanzania jamani maana mojawapo ya sababu kubwa zilizopelekea kudumaa kwa soka letu ni pamoja na mambo haya ya unazi wa Simba na Yanga..tuachane na mambo ya unazi tuweke UTAIFA mbele..Bravo Taifa Stars,bravo Masatu..ALUTA CONTINUA


We Balantanda, nadhani hunielewi. Ni kweli kabisa maneno yako na ni kweli Stars imeshinda na tunafurahia sana. Ila unasahau point muhimu kwenye maelezo yako. Kuwa wachezaji wa Yanga ndiyo waliofunga. Hii ina maana kubwa sana. Huwezi kuwa na wafungaji ambao hawana mafunzo mazuri huko kwako. Kondic amewafunza vema. Na team yoyote ile, ushindi huwa ni magoli na si chenga wala kuunganisha pass. Ukiwa Ulaya hata ukiunganisha pass elfu moja, kama hujafunga wewe huna thamani kabisa na unaweza kuuzwa kwa mkopo kwa team yoyote, tofauti na wengine wanaouzwa kwa cash.

Sasa wewe hapa huelewi nini?
 
Ila na wewe Msatu tulia. usije kurupuka kwenda kwa jamaa zako kule North Mara na kuvamia migodi bila sababu. Tulia hapo uwe unatupa udates

Kaka mie siasa za kwetu zimenishinda napunguza stress hapa JF.

Lakini Starz wanakaba utafikiri vibaka wapora simu maana wasudan walikuwa hawazungushi kabisa.
 
Hatupotoshani bwana mtaalamu. Ukweli ni kwamba magoli kama siyo yote, basi matano yamefungwa na wachezaji wa Yanga. Nini cha kupotisha hapa? Lazima ukubali facts kuweza kufanya maendeleo.

kwa hiyo na kipa nae alikua wa yanga?na hao wasio wa yanga waingecheza hao wa yanga waliobaki wangeweza cheza peke yao?
tuwe tunajitahidi kuwa wise sometimes jamani!

mpira ni mchezo wa watu kumi na moja,tukifungwa tumefungwa wote tukishinda tumeshinda wote!
 
We Balantanda, nadhani hunielewi. Ni kweli kabisa maneno yako na ni kweli Stars imeshinda na tunafurahia sana. Ila unasahau point muhimu kwenye maelezo yako. Kuwa wachezaji wa Yanga ndiyo waliofunga. Hii ina maana kubwa sana. Huwezi kuwa na wafungaji ambao hawana mafunzo mazuri huko kwako. Kondic amewafunza vema. Na team yoyote ile, ushindi huwa ni magoli na si chenga wala kuunganisha pass. Ukiwa Ulaya hata ukiunganisha pass elfu moja, kama hujafunga wewe huna thamani kabisa na unaweza kuuzwa kwa mkopo kwa team yoyote, tofauti na wengine wanaouzwa kwa cash.

Sasa wewe hapa huelewi nini?

na je hao waliofunga kama ni yangu tupu ina maana hawakushambuliwa?na je kama walishambuliwa je ni magoli mangapi huyo kipa asie wa yanga tungefungwa tuki assume hakwepo?goli na man of de match si tumeambiwa limefungwa na captain wa simba?hizo kelele zingine za ooh yamefungwa na yanga zimetoka wapi?
 
TUNAPOTOSHANA.....Yanga kama Yanga wameshindwa kufanya kile kilichofanyika leo(mimi ni mnazi hasa wa Yanga)..hata kama timu inaundwa na wachezaji wengi wa Yanga ikumbukwe kuwa pale ilienda kama Taifa Stars na maombi ya waTanzania wote(wakiwemo wanaMsimbazi) yalielekezwa kwao..tubadilike waTanzania jamani maana mojawapo ya sababu kubwa zilizopelekea kudumaa kwa soka letu ni pamoja na mambo haya ya unazi wa Simba na Yanga..tuachane na mambo ya unazi tuweke UTAIFA mbele..Bravo Taifa Stars,bravo Masatu..ALUTA CONTINUA

Tena wakumbushe kuwa hao yanga wakienda kwa waarabu waafrika huwa wanapigwa arba arba. Mwaka jana tu walizabwa na el mereikh (YA SUDAN) tatu bila. Teh teh teh!!!!!.

Hapo hamna cha simba wala yanga, ni maksimo, timu yake ya ukufunzi, management nzima ya taifa stars na vijana wake ndio wanastahili pongezi!!!!!
 
na je hao waliofunga kama ni yangu tupu ina maana hawakushambuliwa?na je kama walishambuliwa je ni magoli mangapi huyo kipa asie wa yanga tungefungwa tuki assume hakwepo?goli na man of de match si tumeambiwa limefungwa na captain wa simba?hizo kelele zingine za ooh yamefungwa na yanga zimetoka wapi?

We mtaalamu unaelewa ila hutaki tu! Haya, Tumeshinda tufurahie Tanzania kushinsda na magoli kufungwa na wachezaji wa Team ya Yanga. Hapa nadhani nitakuwa nimekupata utakacho!

Najaribu kukueleza vile wewe unataka.
 
Back
Top Bottom