At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Shekhe Yahaya umefufuka?Kwakuwa siasa imeingia kwenye soka, stars itafungwa. Imeniuma sana. Yaani kudanganya watu wazima wamechanga wakijiua wanaenda na Dream Liner halafu leo unasema eti uwanja mdogo. Wewe ni mzembe au mkurupukaji au mwongo... ulianzaje kuwaaminisha watu kabla ya kujua mazingira ya huko mwendako?
Mnaenda kuchezea kipigo cha mbwa koko.
Wewe kengeWe chadema tu ndo skili zenu zipo hivi
Sasa stars ni mama yako? Acha mifano ya kitoto hiyo.Mleta mada umelogwa ni sawa kusema “naombea mama yangu awe Malaya “ . Nani anaaibika.? Acha ujinga.
Tukichezea kichapo mtasemaje?ingawaje timu yetu ni mbovu lakini carpeverde ni mbovu zaidi kwa sasa kwahiyo dua lako sioni likifanikiwa
Hawawezi kufungwa. Si kwa sababu Taifa stars ni wazuri bali hao wapinzani wetu ni wabovu zaidi ya sisi.Hivi wameondoka na ndege ya Fastjet nini?Tulitajiwa Embraer 190 hatukuambiwa imekodiwa kutoka Kampuni gani.Cape Verde 0-Tanzania 2
Nakuambia kufikia 2020 hata wenye vichwa ngumu kuelewa kama jingalao, YEHODAYA, cocochanel na wengineo watakuwa wameshafunguka macho na kujua kumbe uongozi huu umejaa ulaghai mtupu.Dreamliner, hivi hawa viongozi wasiwe wakweli tu, kila mara kutuhadaa tu.
Hilo futa kabisa katika ubongo wakoNakuambia kufikia 2020 hata wenye vichwa ngumu kuelewa kama jingalao, YEHODAYA, cocochanel na wengineo watakuwa wameshafunguka macho na kujua kumbe uongozi huu umejaa ulaghai mtupu.
Makubwa!!! wewe si unaishi miaka yote Buguruni kwa Kimbengele umepanga chumba Kimoja kwa Mzee Masupu yule anayeuza supu za utumbo wa kuku kila siku jioni pale karibu na mkwaju?.Huko Cape verde ulienda lini?Tuache kudanganyana hapa!Mimi nimekaa Cape Verde takribani miezi sita.Wenzetu wana ndege kubwa tatu :airbus mbili na boeing 737-800 Next Generation ambayo ina uwezo wa kubeba abiria si zaidi ya 230. na zote zinapiga masafa ya Europe mpaka Caribbeans sasa huyu mzushi anayesema eti "hawana uwanja wa ndege wa kutua dreamliner ya Tanzania anaumwa au ni mgonjwa?"
HIvi visiwa vinapokea watalii zaidi ya mia sita kwa siku.
WATANZANIA ACHENI UZUSHI WA KIJINGA!
verde ni takataka kimpira wanaweza stars wakapita ingawa na strs ni takataka!Kwakuwa siasa imeingia kwenye soka, stars itafungwa. Imeniuma sana. Yaani kudanganya watu wazima wamechanga wakijiua wanaenda na Dream Liner halafu leo unasema eti uwanja mdogo. Wewe ni mzembe au mkurupukaji au mwongo... ulianzaje kuwaaminisha watu kabla ya kujua mazingira ya huko mwendako?
Mnaenda kuchezea kipigo cha mbwa koko.
Ila mkuu hata mie imani imenitoka kabisa. Uongo kila mahali? Hii lazima ni laanaverde ni takataka kimpira wanaweza stars wakapita ingawa na strs ni takataka!
Hilo futa kabisa katika ubongo wako
[/QUOTE]Mimi sikubaliani na sababu kuu ya Dk. Mwakyembe kuwa uwanja wao ni mdogo kwa dreamliner kutua. Naamini ameitumia sababu hiyo kwa ghiliba, sababu halisivni hasara ya kuipeleka dreamliner ikiwa na abiria ambao kwa idadi yao, bombardier inawatosha kabisa.Mkuu Vyamavingi Acha porojo na siasa za mwakyembe, weka vipimo vya uwanja wa Praia. Hizo ndege mnazoonyeshwa hakuna B787 naona ni A220 za Cote d'void na B737. Mie nahisi sababu kubwa ni TFF kushindwa kufika bei na ATCL wakachomoa which is right. Mengine ni siasa. Cape Verde in visiwa viwili vikubwa. Sal na huko Praia. Kisiwa cha utalii ni Sal na ndiko kwenye uwanja mkubwa kwa ajili ya madege makubwa unayoyasena. Praia ni makao makuu na mpira utachezwa huko.
QUOTE="Vyamavingi, post: 28710099, member: 251105"]Nimejisikia aibu sana kana Mtanzania pale Dk. Mwakyembe alipowadanganya Watanzania ati Dreamliner yetu haiwezi kutua uwanja wa ndege wa Cape Verde! Mwakyembe inaoneka ama haifahamu Cape Verde au ni mwanasiasa anayetumia ghiliba.
Kama umo humu Dk. Mwakyembe, nakufahamisha kuwa Cape Verde uchumi wake unategemea utalii, Watalii wanakwenda Cape Verde kwa maelfu na hawatumii charter na bombadier kufika huko, wanashuka kwa madege makubwa kuliko hiyo dreamliner.
Vv
FIFA rankingverde ni takataka kimpira wanaweza stars wakapita ingawa na strs ni takataka!
All in all, wafu wanazidiana kunuka!FIFA ranking
1.Cape Verde - 67
2.Uganda - 83
3.Tanzania - 140
4.Lesotho - 145
Lakini uliposema ni takataka hukuwa na data. Nikikuletea data za match za kimataifa ambazo Cape Verde wamecheza na nchi zenye heshima kimpira, nadhani utarekebisha mtazamo wako juu ya hii nchi kimpira. Ni ndogo kwa eneo lakini tuwaheshimu kimpira. Tuiombee Taifa stars ishinde kwa sababu mpira unadunda lakini siyo kuwadharau hawa Cape Verde.All in all, wafu wanazidiana kunuka!