Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Dreamliner, hivi hawa viongozi wasiwe wakweli tu, kila mara kutuhadaa tu.
 
Kwakuwa siasa imeingia kwenye soka, stars itafungwa. Imeniuma sana. Yaani kudanganya watu wazima wamechanga wakijiua wanaenda na Dream Liner halafu leo unasema eti uwanja mdogo. Wewe ni mzembe au mkurupukaji au mwongo... ulianzaje kuwaaminisha watu kabla ya kujua mazingira ya huko mwendako?
Mnaenda kuchezea kipigo cha mbwa koko.
Shekhe Yahaya umefufuka?
 
ingawaje timu yetu ni mbovu lakini carpeverde ni mbovu zaidi kwa sasa kwahiyo dua lako sioni likifanikiwa
 
Hivi wameondoka na ndege ya Fastjet nini?Tulitajiwa Embraer 190 hatukuambiwa imekodiwa kutoka Kampuni gani.Cape Verde 0-Tanzania 2
Hawawezi kufungwa. Si kwa sababu Taifa stars ni wazuri bali hao wapinzani wetu ni wabovu zaidi ya sisi.
 
Tuache kudanganyana hapa!Mimi nimekaa Cape Verde takribani miezi sita.Wenzetu wana ndege kubwa tatu :airbus mbili na boeing 737-800 Next Generation ambayo ina uwezo wa kubeba abiria si zaidi ya 230. na zote zinapiga masafa ya Europe mpaka Caribbeans sasa huyu mzushi anayesema eti "hawana uwanja wa ndege wa kutua dreamliner ya Tanzania anaumwa au ni mgonjwa?"
HIvi visiwa vinapokea watalii zaidi ya mia sita kwa siku.
WATANZANIA ACHENI UZUSHI WA KIJINGA!
Makubwa!!! wewe si unaishi miaka yote Buguruni kwa Kimbengele umepanga chumba Kimoja kwa Mzee Masupu yule anayeuza supu za utumbo wa kuku kila siku jioni pale karibu na mkwaju?.Huko Cape verde ulienda lini?
 
Kwakuwa siasa imeingia kwenye soka, stars itafungwa. Imeniuma sana. Yaani kudanganya watu wazima wamechanga wakijiua wanaenda na Dream Liner halafu leo unasema eti uwanja mdogo. Wewe ni mzembe au mkurupukaji au mwongo... ulianzaje kuwaaminisha watu kabla ya kujua mazingira ya huko mwendako?
Mnaenda kuchezea kipigo cha mbwa koko.
verde ni takataka kimpira wanaweza stars wakapita ingawa na strs ni takataka!
 
Terminal


Inside the terminal at Sal Airport.

Amílcar Cabral has one terminal. It is a two-story building containing check-in, waiting, and arrival areas, as well as shopping, banking, and passenger services. The second floor houses airport operations and airline offices. There are four gates, and buses (Cobus 3000s) are used to transport passengers to the aircraft stands.

Cabo Verde Express has its head office in the Concourse Hall. The duty-free shop is located after passport control but before security scanning, which only takes place as you enter the boarding lounge, which is shared for all four departure gates.

Runways
The airport's main runway is 3,272 m (10,734 ft) long and is the longest in Cape Verde. It is used for long-haul flights. It was also one of the designated emergency landing strips for the U.S. Space Shuttle. The second runway is 1,500 m (4,921 ft) long and was used by small planes. It is now closed for traffic.

JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT

1539160879740.png


1.Main Runways is 3,000 m, 9,843 ft.
2.Second Runways is 1,000m, 3,281ft
 
October 10, 2018
Dar es Salaam JNIA, Tanzania
Taifa stars walivyoondoka kibabe usiku

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa stars imeondoka leo saa tisa alfajiri kuelekea nchini Cape Verde kwenye mchezo wa kuwania kufuzu fainali za mataifa africa zitakazopigwa mwakani nchini Cameroon. Na maneno ya mwisho ya Mh. Harrison Mwakyembe waziri wa mchezo na utamaduni Tanzania

Source :Global TV online
 
Mkuu Vyamavingi Acha porojo na siasa za mwakyembe, weka vipimo vya uwanja wa Praia. Hizo ndege mnazoonyeshwa hakuna B787 naona ni A220 za Cote d'void na B737. Mie nahisi sababu kubwa ni TFF kushindwa kufika bei na ATCL wakachomoa which is right. Mengine ni siasa. Cape Verde in visiwa viwili vikubwa. Sal na huko Praia. Kisiwa cha utalii ni Sal na ndiko kwenye uwanja mkubwa kwa ajili ya madege makubwa unayoyasena. Praia ni makao makuu na mpira utachezwa huko.

QUOTE="Vyamavingi, post: 28710099, member: 251105"]Nimejisikia aibu sana kana Mtanzania pale Dk. Mwakyembe alipowadanganya Watanzania ati Dreamliner yetu haiwezi kutua uwanja wa ndege wa Cape Verde! Mwakyembe inaoneka ama haifahamu Cape Verde au ni mwanasiasa anayetumia ghiliba.

Kama umo humu Dk. Mwakyembe, nakufahamisha kuwa Cape Verde uchumi wake unategemea utalii, Watalii wanakwenda Cape Verde kwa maelfu na hawatumii charter na bombadier kufika huko, wanashuka kwa madege makubwa kuliko hiyo dreamliner.

Vv
[/QUOTE]Mimi sikubaliani na sababu kuu ya Dk. Mwakyembe kuwa uwanja wao ni mdogo kwa dreamliner kutua. Naamini ameitumia sababu hiyo kwa ghiliba, sababu halisivni hasara ya kuipeleka dreamliner ikiwa na abiria ambao kwa idadi yao, bombardier inawatosha kabisa.

Vv
 
All in all, wafu wanazidiana kunuka!
Lakini uliposema ni takataka hukuwa na data. Nikikuletea data za match za kimataifa ambazo Cape Verde wamecheza na nchi zenye heshima kimpira, nadhani utarekebisha mtazamo wako juu ya hii nchi kimpira. Ni ndogo kwa eneo lakini tuwaheshimu kimpira. Tuiombee Taifa stars ishinde kwa sababu mpira unadunda lakini siyo kuwadharau hawa Cape Verde.
 
Back
Top Bottom