Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Tuliwaambia hiyo issue haiwezekani wakabisha mambo ya mpira wakataka walete siasa!....shame on them!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawalaani kweliTunashinda Gwajima ondoa shaka hata kama siyo hiyo 0-2 tutashinda huo mchezo.
Hawa vijana wamenihudhi sana.Kundi jepesi wamepewa na CAF wanafanya masiharaKawalaani kweli
Hawa wachezaji wanadanga na wao. Mbwa kweli, hayana hata utaifa kazi kunenepa tu makalio.
Asante teknolojia.
Kwa sasa ni vigumu kudanganya, Ukimtazama Mwakyembe ukamtazama Mwijage, ukamtazama Lugola unagundua ni watu ambao kwa asilimia kubwa hawako serious.
Waziri ambaye mpaka leo anajua nini anafanya ni Lukuvi peke yake labda kama kuna mwingine wadau mtanijulisha.
Uko sahihi, yule jamaa anaitwa Anthony Mtaka kwa RCs yuko timamu kichwani.Natoka nje ya Mada na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
October 9, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania – Taifa Stars kitaondoka usiku wa leo kuelekea mjini Praia, Cape Verde kwa ndege ya kukodi kuifuata timu ya taifa ya huko kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa michuano ya AFCON inayotarajiwa kufanyika mapema mwakani.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea kambi ya timu hiyo Waziri Mwakyembe amesema, mabadiliko ya safari hiyo kutoka Dream Liner na kuamua kukodi ndege yanatokana na ufinyu wa uwanja wa ndege wa Mjini Praia ambao hauwezi kutua ndege kubwa.
Aidha Waziri Mwakyembe amewataka wachezaji wa Taifa stars wakacheze kwa kujituma ili kuibuka na ushindi katika mchezo huo huku akiwasihi watanzania kuiombea timu hiyo.
Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia na Nahodha Msaidi wa Taifa Stars Himidi Mao wameelezea maandalizi ya mchezo huo.
Habari & Video kwa hisani kubwa ya:
Source: Global TV Online