gachacha
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,584
- 3,977
Sidhani kama uko sahihi kwani nchi zingine zinapewa mda tofauti (mrefu) tofauti na kichwa cha mwendawazimu maana zinafanya vizuriKwanza ieleweke kwamba muda wa kambini inawezekana kabisa ukawa hautoshi kuwaunganisha pamoja wachezaji, kwani kila mchezaji ana mfumo aliouzoea na timu yake, hivyo kuzoea mfumo unaotumiwa na timu ya Taifa inaweza ikachukua muda na wakajikuta wanaingia uwanjani pasipokuwa na muunganiko mzuri kiufundi