Taifa Stars wako uwanjani, tuwaombee

Sidhani kama uko sahihi kwani nchi zingine zinapewa mda tofauti (mrefu) tofauti na kichwa cha mwendawazimu maana zinafanya vizuri
 
Yanga kwa beki zile zinazo kaba kwa macho yanga akishinda hata mechi moja kimataifa mje mnipeleke central niko hapa mwembe chai.
 
Kwani wapinzani wetu wameweka wachezaji wao kambini muda mrefu kuliko sisi?

Kubalini tu ukweli kwamba timu yetu na mpira wetu bado una Safari ndefu ya kuelekea kwenye ushindani.
Tate Mkuu Scars denooJ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…