ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Nadhani kosa lilifanyika hii timu yetu ikashuka kawaida tu pale JKN airport, serikali kupitia wizara husika wangeandaa ka adhabu kadogo just kuwaamsha wajue kua wanapotumia pesa za walalahoi kwenda kuwakilisha nchi kweli wakaze msuli sio tu labda mpaka waahidiwe gari au mamilioni, hawa madogo siku hizi wanabweteka sana kwa wanaomkumbuka mmoja kati ya watoto wa aliyekua rais wa iraq hayati Sadam Hussein.
Yeye alipenda sana mpira na alisapoti kutoka hata kwenye mfuko wake ili timu ya taifa lake ilete sIfa lakini ilifikia walipokua wakifungwa hivi kwa kweli siku ya kurudi wanakuta karandinga la mahabusu na maaskari wanawasubiria nje ilikua hakuna mjadala ni ndani!!
Kumbe basi ingawa wengi walilaumu njia ile lakini imekua na mafanikio makubwa kwa timu ya taifa la Iraq maana ilijenga nidhamu na uwajibikaji kwa kila sekta kuanzia uteuzi wa timu waalimu upangaji na benchi lote la ufundi leo hii kwa mujibu wa rank za Fifa mwaka 2004 Oktoba Iraq walikua namba 39 ki ubora wa soka duniani! Ni kiwango cha kujisifia ila sasa wamedrop kwani rank za fifa 7 may 2015 wanashika namba 86, Tanzania tungechukua somo hili kama changamoto kwa timu yetu.
Yeye alipenda sana mpira na alisapoti kutoka hata kwenye mfuko wake ili timu ya taifa lake ilete sIfa lakini ilifikia walipokua wakifungwa hivi kwa kweli siku ya kurudi wanakuta karandinga la mahabusu na maaskari wanawasubiria nje ilikua hakuna mjadala ni ndani!!
Kumbe basi ingawa wengi walilaumu njia ile lakini imekua na mafanikio makubwa kwa timu ya taifa la Iraq maana ilijenga nidhamu na uwajibikaji kwa kila sekta kuanzia uteuzi wa timu waalimu upangaji na benchi lote la ufundi leo hii kwa mujibu wa rank za Fifa mwaka 2004 Oktoba Iraq walikua namba 39 ki ubora wa soka duniani! Ni kiwango cha kujisifia ila sasa wamedrop kwani rank za fifa 7 may 2015 wanashika namba 86, Tanzania tungechukua somo hili kama changamoto kwa timu yetu.