Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Just imagine squad yote kuanzia kipa, beki winga viungo mpaka washambuliaji wote ni wa hapa hapa ligi kuu ya NBCPL,

Mnataka wacheze soka safi la kufunguka bila mipango ili iweje?
Hivi mnajua mpira kweli ninyi wachambuzi wa mitandaoni?

Timu ipo nafasi ya pili kwenye kundi, na kama sio makosa ya kibinadamu tungeokota point moja ya DR CONGO tena ugenini kabisa.

Timu ambayo imesheheni vijana kutoka vilabu vikubwa huko ulaya.

Guinea pia inamastaa kibao kutoka ulaya ila tuliifunga huko huko kwao

Zambia tukaifunga kwao licha ya kuwa na nyota wakali kutoka ulaya.

Tunashinda kwa mpira wetu huu huu wa mahesabu makali.

Mkongo akivyotufunga vijana wetu walianza kufunguka na kumperekesha mkongo ila mnajifanya hamkuona, uwanja mzima ukiojaa wacongo ulikua kimya utadhani wao ndio wamefungwa mnajifanya hamkuona.

Taifa stars ya sasa ndio timu bora kuliko Taifa stars zote.

Mnaoponda na kukosoa hamjui mpira ninyi ni wacha mbuzi hamna tofauti na kikundi cha wachawi.

Nawasilisha.
 
Wale machotara mliwapeleka wapi? Unajua pesa nyingi sana ilitumika kuwatafuta wale wachezaji. Leo tumerudi tena tunasingizia eti wachezaji wote wa ndani. Kwanza siyo kweli.

Kawawa, Mnoga, Allarakhia ni bora kuliko hao mnaowakumbatia.
 
Wale machotara mliwapeleka wapi? Unajua pesa nyingi sana ilitumika kuwatafuta wale wachezaji. Leo tumerudi tena tunasingizia eti wachezaji wote wa ndani. Kwanza siyo kweli.

Kawawa, Mnoga, Allarakhia ni bora kuliko hao mnaowakumbatia.
Kulikoni Kuhusu huyo Mnoga?
 
Wale machotara mliwapeleka wapi? Unajua pesa nyingi sana ilitumika kuwatafuta wale wachezaji. Leo tumerudi tena tunasingizia eti wachezaji wote wa ndani. Kwanza siyo kweli.

Kawawa, Mnoga, Allarakhia ni bora kuliko hao mnaowakumbatia.
Hao machotara wanamzidi nini Mohamed Husein au Kibabage?

Au mtu akiwa mzungu ndio unaoba anajua mpira?
 
Hao machotara wanamzidi nini Mohamed Husein au Kibabage?

Au mtu akiwa mzungu ndio unaoba anajua mpira?
Sasa mnalialia nini kuwa hamna wachezaji wa nje kama mkiwapata mnakuja na kauli hizo za eti wanawazidi nini hao wa ndani. Yaani wachezaji mmewatafuta wenyewe halafu mnasema "mtu akiwa mzungu ndiyo unaona anajua mpira"

Na hamna niliyemtaja hapo ni "mzungu"
 
Just imagine squad yote kuanzia kipa, beki winga viungo mpaka washambuliaji wote ni wa hapa hapa ligi kuu ya NBCPL,

Mnataka wacheze soka safi la kufunguka bila mipango ili iweje?
Hivi mnajua mpira kweli ninyi wachambuzi wa mitandaoni?

Timu ipo nafasi ya pili kwenye kundi, na kama sio makosa ya kibinadamu tungeokota point moja ya DR CONGO tena ugenini kabisa. Timu ambayo imesheheni vijana kutoka vilabu vikubwa huko ulaya.

Guinea pia inamastaa kibao kutoka ulaya ila tuliifunga huko huko kwao

Zambia tukaifunga kwao licha ya kuwa na nyota wakali kutoka ulaya.

Tunashinda kwa mpira wetu huu huu wa mahesabu makali.

Mkongo akivyotufunga vijana wetu walianza kufunguka na kumperekesha mkongo ila mnajifanya hamkuona, uwanja mzima ukiojaa wacongo ulikua kimya utadhani wao ndio wamefungwa mnajifanya hamkuona.

Taifa stars ya sasa ndio timu bora kuliko Taifa stars zote.

Mnaoponda na kukosoa hamjui mpira ninyi ni wacha mbuzi hamna tofauti na kikundi cha wachawi.

Nawasilisha.
Tuna mashabiki wanaojua kujieleza wakajiona wao ni wachambuzi. Wamejaa sana kule burudani kwa wote.
 
.n

Nimechapia bana Mnoga Mkwawa
Mnoga na Kawawa ni wachezaji wawili tofauti. Sijui kwa nini wameachwa kuitwa.

Nadhani kilichofanyka, wachezaji wanaocheza ndani walikalishwa chini wakaambiwa mkiacha kukaza buti, namba zenu zitachukuwa na hawa madogo kama alivyoanza kufanya Amrouche. Ndiyo maana unaona sasa hivi kidogo juhudi zimeongezeka ila bado mchezaji aliyekulia katika makuzi sahihi ya kisoka anakupa kitu cha ziada hasa katika wakati anaohitaji kutumia akili za ziada na pia wana nguvu siyo za kukomaa lakini za kutokana na kukua wakila lishe sahihi.

Halafu mtu anauliza "hao wazungu wana nini cha ziada?"
 
USIHALALISHE DHAMBI JUU YA DHAMBI.

Hakuna Dhambi halali yote ni Maasi.
 
Mie Langu Moja tu...!

Itabidi Sisi WaTz tuwe Makini sana na Mzize.!

Anaweza Kumtungua tena golikipa wetu wa Tanzania.

Mechi na DRC,Nikashangilia kusikia Mzize Kafunga.... Kumbe alitufunga Watanzania...! Nikahuzunika sana.
 
Mie Langu Moja tu...!

Itabidi Sisi WaTz tuwe Makini sana na Mzize.!

Anaweza Kumtungua tena golikipa wetu wa Tanzania.

Mechi na DRC,Nikashangilia kusikia Mzize Kafunga.... Kumbe alitufunga Watanzania...! Nikahuzunika sana.
Mimi nilidhani aliutuliza li golikipa adake kuna cha kujifunza kuhusu goal keeping , the goal keeper also has to be agitative
 
Mnoga na Kawawa ni wachezaji wawili tofauti. Sijui kwa nini wameachwa kuitwa.

Nadhani kilichofanyka, wachezaji wanaocheza ndani walikalishwa chini wakaambiwa mkiacha kukaza buti, namba zenu zitachukuwa na hawa madogo kama alivyoanza kufanya Amrouche. Ndiyo maana unaona sasa hivi kidogo juhudi zimeongezeka ila bado mchezaji aliyekulia katika makuzi sahihi ya kisoka anakupa kitu cha ziada hasa katika wakati anaohitaji kutumia akili za ziada na pia wana nguvu siyo za kukomaa lakini za kutokana na kukua wakila lishe sahihi.

Halafu mtu anauliza "hao wazungu wana nini cha ziada?"
al arakiya anacheza non league a.k.a ndondo cup ya ulaya yaani unacheza huku unafanya kazi yako nyingine. Kwesi kawawa hamzidi chochote ally salimu kipa la boli. Katika wote uliowataja mchezaji ni mmoja tu Haji mnoga.
 
al arakiya anacheza non league a.k.a ndondo cup ya ulaya yaani unacheza huku unafanya kazi yako nyingine. Kwesi kawawa hamzidi chochote ally salimu kipa la boli. Katika wote uliowataja mchezaji ni mmoja tu Haji mnoga.
Ndondo Cup ya Ulaya unaweza kuilinganisha na Ndondo yetu? Huyo Allarakhia ni bonge la winga, hauwezi kumlinganisha na winga yoyote aliyepo Stars kwa sasa. Nina uhakika tungempa nafasi AFCON kule Ivory Coast angepata timu kubwa walau za Afrika Kaskazini.

Kawawa nimemtaja pamoja na kwamba sijamuona vya kutosha ila nina uhakika atakuwa anamzidi Salim. Moja ya kitu kinachompunguzia uwezo Salim ni kimo chake. Pia Salim ana mapungufu sana katika kucheza krosi na kona na urefu wake unachangia hilo.
 
Just imagine squad yote kuanzia kipa, beki winga viungo mpaka washambuliaji wote ni wa hapa hapa ligi kuu ya NBCPL,

Mnataka wacheze soka safi la kufunguka bila mipango ili iweje?
Hivi mnajua mpira kweli ninyi wachambuzi wa mitandaoni?

Timu ipo nafasi ya pili kwenye kundi, na kama sio makosa ya kibinadamu tungeokota point moja ya DR CONGO tena ugenini kabisa. Timu ambayo imesheheni vijana kutoka vilabu vikubwa huko ulaya.

Guinea pia inamastaa kibao kutoka ulaya ila tuliifunga huko huko kwao

Zambia tukaifunga kwao licha ya kuwa na nyota wakali kutoka ulaya.

Tunashinda kwa mpira wetu huu huu wa mahesabu makali.

Mkongo akivyotufunga vijana wetu walianza kufunguka na kumperekesha mkongo ila mnajifanya hamkuona, uwanja mzima ukiojaa wacongo ulikua kimya utadhani wao ndio wamefungwa mnajifanya hamkuona.

Taifa stars ya sasa ndio timu bora kuliko Taifa stars zote.

Mnaoponda na kukosoa hamjui mpira ninyi ni wacha mbuzi hamna tofauti na kikundi cha wachawi.

Nawasilisha.
kwa kweli team ilipiga mpira sana. tufike mahali tuipende timu yetu na tusiingize usimba na uyanga. tutafika mbali.
 
Just imagine squad yote kuanzia kipa, beki winga viungo mpaka washambuliaji wote ni wa hapa hapa ligi kuu ya NBCPL,

Mnataka wacheze soka safi la kufunguka bila mipango ili iweje?
Hivi mnajua mpira kweli ninyi wachambuzi wa mitandaoni?

Timu ipo nafasi ya pili kwenye kundi, na kama sio makosa ya kibinadamu tungeokota point moja ya DR CONGO tena ugenini kabisa. Timu ambayo imesheheni vijana kutoka vilabu vikubwa huko ulaya.

Guinea pia inamastaa kibao kutoka ulaya ila tuliifunga huko huko kwao

Zambia tukaifunga kwao licha ya kuwa na nyota wakali kutoka ulaya.

Tunashinda kwa mpira wetu huu huu wa mahesabu makali.

Mkongo akivyotufunga vijana wetu walianza kufunguka na kumperekesha mkongo ila mnajifanya hamkuona, uwanja mzima ukiojaa wacongo ulikua kimya utadhani wao ndio wamefungwa mnajifanya hamkuona.

Taifa stars ya sasa ndio timu bora kuliko Taifa stars zote.

Mnaoponda na kukosoa hamjui mpira ninyi ni wacha mbuzi hamna tofauti na kikundi cha wachawi.

Nawasilisha.
Uongozi wa mama Samia utakumbukwa kwa kushuhudia mapinduzi ya soka la bongo japo kwa KIASI kidogo..

Wapi maxio maximo

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Team mafanikio yake ndio ubora wake, sote tukubali kuna tilipotoka na sasa ni tofauti tunacheza bila uwoga na tunaweza lakini pia tukubaliane system ya zamani ili uqualify ilikuwa ngumu sababu team zilikuwa chache ukiongoza group tu siku hizi team zimekuwa nyingi na tunajikuta kwenye magroup tunafanana tu.

Moja je team ume improve? YES
Team bora kuliko zote TZ? Hapana labda tufanye maajabu huko mbele.
 
Back
Top Bottom