Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

Taifa Stars ya sasa ndio timu bora kuwahi kutokea wachambuzi wa mchongo wapuuzwe

Mzize jamani...! Mie sina kbs imani naye.!

Anaweza kutushona tena iwapo hajapatiwa MwanaSaikolojia..!

Kwamba Afunge goli pinzani.! Aelezwe adui yetu ni wakongomani.. !
 
Wale machotara mliwapeleka wapi? Unajua pesa nyingi sana ilitumika kuwatafuta wale wachezaji. Leo tumerudi tena tunasingizia eti wachezaji wote wa ndani. Kwanza siyo kweli.

Kawawa, Mnoga, Allarakhia ni bora kuliko hao mnaowakumbatia.
Hao machotara hamna kitu, kama yule mnoga ni jinga kabisa.
 
Haya sasa mimi niliwahi kusema mapema wengi mkawa hamuoni kile ambacho nakiona

Wqchambuzi mtabadili gia angani?
 
Back
Top Bottom