Mbilimbi Mbovu
Senior Member
- May 25, 2015
- 185
- 119
Timu ya taifa ya Tanzania ilipoteza mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Libya kwa magoli 2-1, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Kartepe1 nchini Uturuki.
Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John Bocco.
Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John Bocco.