Taifa Stars Yaichapa Guinea ya Ikweta 2 - 1

Huyu akili zake hizitofautiani na tundu au wale wanaojiita wapinzani wanathibitisha sasa kama wao wapinzani wa kweli kila kitu wanapinga tu sasa hueleweki kama hata jambo ambalo wananchi wanalifurahia unalipinga sasa kama utapewa madaraka c ndo utawakera wananchi maana utafanya vitu wasivyovipenda kwasababu vitu wanavyovipenda wewe uvipendi
Yaani we jamaa sijui ni mtu wa namna gani!..kila jambo zuri lifanyikalo tz we unapinga tu..!! We ni kupinga tu..
 
Yaani we jamaa sijui ni mtu wa namna gani!..kila jambo zuri lifanyikalo tz we unapinga tu..!! We ni kupinga tu..

Mkuu

Acha unafiki!

Ni timu ya CcM,unajitia ni timu ya taifa zima?

Ilikua timu ya taifa zima 2015 kurudi nyuma!

Hili unalijua unakataa kinafiki tu!

To be precise ni timu ya bwana β€œdasalama mkoa wangu”!

You know dat nigga!
 
Mkuu

Acha unafiki!

Ni timu ya CcM,unajitia ni timu ya taifa zima?

Ilikua timu ya taifa zima 2015 kurudi nyuma!

Hili unalijua unakataa kinafiki tu!

To be precise ni timu ya bwana β€œdasalama mkoa wangu”!

You know dat nigga!

Si kweli




"Yule jamaa"mkoa wangu" hata mi mwenyewe simkubali"
 
Si kweli




"Yule jamaa"mkoa wangu" hata mi mwenyewe simkubali"

Ndio mwenye timu,yeye na ccm na serikali takatifu ya awamu ya tano!

Ndio ilivyo!

Ndio maana timu ya taifa imekua inachukiwa this time than any other time in history!

Shida ndio hiyo!

Tatizo watu mmejaa unafiki mnajifanya hamuoni!
 
Ndio mwenye timu,yeye na ccm na serikali takatifu ya awamu ya tano!

Ndio ilivyo!

Ndio maana timu ya taifa imekua inachukiwa this time than any other time in history!

Shida ndio hiyo!

Tatizo watu mmejaa unafiki mnajifanya hamuoni!
Speak to yourself,
Ingekuwa inachukiwa basi mashabiki wangekuwa hawajai uwanjani,
Vitu vingine hata sio vya kupinga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Speak to yourself,
Ingekuwa inachukiwa basi mashabiki wangekuwa hawajai uwanjani,
Vitu vingine hata sio vya kupinga [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanajaa according na takwimu gani?

Na watu milioni 60 wanaweza kujaa uwanjani?

Wanaoenda uwanjani ni 60k tu karibu 1% ya nchi!

The rest 98% una assume wote tunaipenda kwa lipi?

Ilipofungwa juzi ilikua ni vigelegele all across the country,unajua sababu?

Shida ni kuchanganya unifying events za nchi na kikundi kidogo cha siasa!

Thats the problem!

Usiseme hujui hili maana mmejaa unafiki!

Na mimi najiongelea mwenyewe,otherwise ni maoni kwendana na ninavyoona mimi binafsi yangu,huna haja ya kufatilia nachosema!
 
Watu kama wewe ndio mnafanya upinzani waendelee kupoteza ushawishi,
Hivi capacity ya ule uwanja ni ngapi?
Watanzania wote wanaenea ule uwanja?
Ulikuwepo jana uwanjani?
Kama hujaenda uwanjani basi hata na picha na videos hujaona?
Chuki zako na serikali zinakupeleka vibaya sana,
Unajikuta kuandika upuuzi hapa ili uonekane una andika cha maana kumbe ni bonge la mshamba tu ambaye kichwa chake kimejaa chuki,
Alafu eti unasema wanajaa kwa takwimu zipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kama hujui kusoma hata video na picha huzioni.
 
TZ tunafanya vitu kwa malengo na sio kwa misifa
Fikeni women world cup kwanza ndio mwanze kujisifu,
Mnakutana na nchi ovyo ndio mjione magwiji,,
Fuateni nayo za kina Cameroon,nigeria, Senegal, Ghana zinazoenda hadi Olympics si upuzi za east Africa ata cup of nation bado
 
Ndio mwenye timu,yeye na ccm na serikali takatifu ya awamu ya tano!

Ndio ilivyo!

Ndio maana timu ya taifa imekua inachukiwa this time than any other time in history!

Shida ndio hiyo!

Tatizo watu mmejaa unafiki mnajifanya hamuoni!
Wewe una mapepo, nakushauri uende kuombewa.
 
Fikeni women world cup kwanza ndio mwanze kujisifu,
Mnakutana na nchi ovyo ndio mjione magwiji,,
Fuateni nayo za kina Cameroon,nigeria, Senegal, Ghana zinazoenda hadi Olympics si upuzi za east Africa ata cup of nation bado
Hahaah punguza wivu kijana,
Kwani nyie mmefika wapi embu tuambie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Fikeni women world cup kwanza ndio mwanze kujisifu,
Mnakutana na nchi ovyo ndio mjione magwiji,,
Fuateni nayo za kina Cameroon,nigeria, Senegal, Ghana zinazoenda hadi Olympics si upuzi za east Africa ata cup of nation bado
Eti Cup of nation bado! Ww siyo mzima, unaongea usiyo yajua BTW hao ni mabingwa wa COSAFA pia.
 
Hahaah punguza wivu kijana,
Kwani nyie mmefika wapi embu tuambie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sisi tunatamba Kwa global championships ata si continental or East....
Rugby
Volleyball
Kibadii
Athletes
Netball
Swimming...
Hizi zote zimetuwakilisha vizuri Kwa world cups,olympics,IAAF, etc.
KunA life nje ya local football
 
Sisi tunatamba Kwa global championships ata si continental or East....
Rugby
Volleyball
Kibadii
Athletes
Netball
Swimming...
Hizi zote zimetuwakilisha vizuri Kwa world cups,olympics,IAAF, etc.
KunA life nje ya local football
Unachange gear hewani ili iweje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…