Taifa stars Yanga waitwa 7 Simba wachezaji wa 3

Taifa stars Yanga waitwa 7 Simba wachezaji wa 3

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kikosi cha wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi mbili za kufuzu kushiriki michuano ya mataifa Afrika (AFCON 2025).

Ally Salim(Simba SC) GK
Aboutwalb Mshery (Yanga) GK
Yona Amos (Pamba SC) GK

Lusajo Mwaikenda (Azam FC)
Nathaniel Chilambo (Azam FC)
Mohamed Hussein (Simba SC)
Dickson Job (Yanga)
Pascal Mindo (Azam FC)
Ibrahim Hamad (Yanga)
Bakari Nondo (Yanga)
Nickson Kibabage (Yanga)
Abdulmalik Zakaria (Mashujaa FC)
Adolf Mtasingwa (Azam FC)
Himid Mao (Talaal El Geish, Misri) Novatus Dismas (Goztepe, Uturuki)
Mudathiri Yahya (Yanga)
Hussein Semfuko (Coastal Union)
Edwin Balua (Simba SC)
Feisal Salim (Azam FC)
Wazir Junior (Dodoma Jiji)
Cyprian Kachwele (Vancouver Whitecaps, Canada)
Clement Mzize (Yanga)
Abel Josiah (Tds TFF Academy)

#WasafiSports
 
Je hii Ina maana Gani..

..Simba kuitwa wachezaji wa 3.......

Azam wachezaji....5

Yanga wachezaji 7????

Je Ina maana Gani???
a) uwezo wa Simba ume drop

b) Simba hawana resources za wachezaji wa ndani

c). a b na c ni sawa
 
Back
Top Bottom