PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kwani kocha wa timu ya taifa amebadilishwa?DICKSON JOB (YANGA)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kocha wa timu ya taifa amebadilishwa?DICKSON JOB (YANGA)
Jibu linajulikana tu Simba Awana ubora wa wachezaji Bali Wana lundo la wachezaji, anzia kwenye back line nitajie beki wa Simba mwenye ubora Kama wa Ibrahim baka, bakari mwamnyeto ama diksoni jobu, ukitoka hapo nenda kwenye kiungo ni nani pale anamuweka benchi mudathiri, nenda kwa mshambuliaji ni nani pale anamuweka benchi mzize, kwaiyo ata makocha wanaangalia kwa jicho la kiufundi wanaona Amna kitu pale zaidi ya propaganda tu za viongozi waoJe hii Ina maana Gani..
..Simba kuitwa wachezaji wa 3.......
Azam wachezaji....5
Yanga wachezaji 7????
Je Ina maana Gani???
a) uwezo wa Simba ume drop
b) Simba hawana resources za wachezaji wa ndani
c). a b na c ni sawa
Ni akademi inalea vipaji na kuuza🤣🤣🤣Tuwe serious kidogo, sasa unamuita Awesu au Kibu akafanye nini? Timu ya taifa sio kikundi cha Raggae.
Umechambua vzr mkuuJibu linajulikana tu Simba Awana ubora wa wachezaji Bali Wana lundo la wachezaji, anzia kwenye back line nitajie beki wa Simba mwenye ubora Kama wa Ibrahim baka, bakari mwamnyeto ama diksoni jobu, ukitoka hapo nenda kwenye kiungo ni nani pale anamuweka benchi mudathiri, nenda kwa mshambuliaji ni nani pale anamuweka benchi mzize, kwaiyo ata makocha wanaangalia kwa jicho la kiufundi wanaona Amna kitu pale zaidi ya propaganda tu za viongozi wao
Acha kutuzingua,kamuulize MorrocoJe hii Ina maana Gani..
..Simba kuitwa wachezaji wa 3.......
Azam wachezaji....5
Yanga wachezaji 7????
Je Ina maana Gani???
a) uwezo wa Simba ume drop
b) Simba hawana resources za wachezaji wa ndani
c). a b na c ni sawa
Kwa hiyo nyani ametema bungo!?Hapana mkuu
We mwenyewe, umeandika KIUSHABIKI sana, kuelezea uchache wa wachezaji wa Simba!No unakosea kijana....kuwa mzalendo
Weka takwimu sawasawa:Kikosi cha wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi mbili za kufuzu kushiriki michuano ya mataifa Afrika (AFCON 2025).
ALLY SALIM (SIMBA SC) GK
ABOUTWALB MSHERY (YANGA) GK
YONA AMOS (PAMBA SC) GK
LUSAJO MWAIKENDA (AZAM FC)
NATHANIEL CHILAMBO (AZAM FC)
MOHAMED HUSSEIN (SIMBA SC)
DICKSON JOB (YANGA)
PASCAL MINDO (AZAM FC)
IBRAHIM HAMAD (YANGA)
BAKARI NONDO (YANGA)
NICKSON KIBABAGE (YANGA)
ABDULMALIK ZAKARIA (MASHUJAA FC)
ADOLF MTASINGWA (AZAM FC)
HIMID MAO (TALAAL EL GEISH, MISRI) NOVATUS DISMAS (GOZTEPE, UTURUKI)
MUDATHIRI YAHYA (YANGA)
HUSSEIN SEMFUKO (COASTAL UNION)
EDWIN BALUA (SIMBA SC)
FEISAL SALIM (AZAM FC)
WAZIR JUNIOR (DODOMA JIJI)
CYPRIAN KACHWELE (VANCOUVER WHITECAPS, CANADA)
CLEMENT MZIZE (YANGA)
ABEL JOSIAH (TDS TFF ACADEMY)
#WasafiSports
Kocuaj wa yimu ua taifa, maana alipikuwa anamtema Job aliongea shits sanaj juu ya Dickson JobYupi mkuu
Imeenda hiyo.Jibu linajulikana tu Simba Awana ubora wa wachezaji Bali Wana lundo la wachezaji, anzia kwenye back line nitajie beki wa Simba mwenye ubora Kama wa Ibrahim baka, bakari mwamnyeto ama diksoni jobu, ukitoka hapo nenda kwenye kiungo ni nani pale anamuweka benchi mudathiri, nenda kwa mshambuliaji ni nani pale anamuweka benchi mzize, kwaiyo ata makocha wanaangalia kwa jicho la kiufundi wanaona Amna kitu pale zaidi ya propaganda tu za viongozi wao
Na tunafungwa mechi zote.Kwahiyo wameitwa 10 tuu? Hii nchi ya ajabu sana. Na tukifungwa tutakuwa tumefungishwa na Yanga.
Sahihi mkuuWeka takwimu sawasawa:
Yanga - Wachezaji 7
Azam - Wachezaji 5
Simba-Wachezaji 3
Timu nyingine za ndani ( Pamba, (1), Mashujaa (1), Coastal (1), Dodoma jiji (1), TFF -TDS Academy(1)) Jumla wachezaji 5
Timu nyingine za Nje ( Vancouver White Caps Canada, (1), Goztepe Uturuki (1),Traala El Geish Misri(1)) Jumla wachezaji 3