Taifa Stars yatua salama yapokelewa kwa shangwe na mashabiki

Kama Zitto Kabwe
 
Sasa mzee, ww unaona tumestahili kuwa hapo au ni bahati imetubeba.?
Juhudi na Bahati, lakini unakumbuka jinsi Bara la Afrika lilivyoililia Zambia National Team "KK Eleven" iliyopata ajali huko Gabon? enzi za Omay Bongo
 
KESHO LIITISHWE BUNGE LA DHARURA ILI WAENDE BUNGENI
 
Karibuni nyumbani taifa stars. Mumeipa hadhi na heshima nchi yenu Tanzania.
 
Bandari kwanza.

Hatuuzi bandari zetu
Kuhusu bandari tumefikia wapi???

Mbona mnaleta swaga zingine zingine tu! Vipi hapo ikulu wanalisemeaje suala la bandari zetu?
Jazi nyama kidogo mkuu
Huo upmbv [emoji1]

Ova
Ila kuna watu wana muda wa mchezo. Yaani unatoka Kawe hadi Airport kuwashangilia hao kisha unarudi Kawe.
Wakija kupigwa 9 huko kwenye fainali za AFCON mje tena hapa hapa muisifie CCM na huyo mwenyekiti wenu.
Inasikitisha sana, bahati mbaya Mwendazake alikufa Kwa mapenzi yake sio Samia aliyemuua! Pengine angesiliza ushauri wa wadau wa afya tungekuwa naye.

Kingine siasa za wakina Lissu na TEC zimewajengea kidonda cha chuki mnachotembea nacho! Relax maisha ni mafupi acha tusheherekee mafanikio hata kama kidogo. Furahia mafanikio ya wenzako.
 
Kuhusu bandari tumefikia wapi???

Mbona mnaleta swaga zingine zingine tu! Vipi hapo ikulu wanalisemeaje suala la bandari zetu?
Wewe baki na bandari isiyowahusu huku watu wamechapa lapa km zaidi ya 20 kushangilia timu yao.
Waache waenjoy na wewe endelea kuhangaika na bandari isiyokuhusu
 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…