Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sad..............Tumetolewa!!!!!!!!!!!!!...................Kisa?,mechi ya kirafiki na Brazil..........Tanzania bana
So sad..............Tumetolewa!!!!!!!!!!!!!...................Kisa?,mechi ya kirafiki na Brazil..........Tanzania bana
hivi brazil wanatakiwa kuja lini? manake nakumbuka walisema tarehe 5 sasa mpaka leo hata media sijaona kuandikia ujio wao na tumewalipa tayari au malipo hayakuwa pamoja na hoteli na chakula ha ha aha ha kuanzia tarehe 5?
mwaka wa uchaguzi huu kaka !!!!...but ukiacha hilo kama taifa ni vema kujitangaza.....tena nashauri tuweke watu pale wavizie timu zitakazokuwa zinatolewa zifanye stop over Tanzania kujiliwaza kabla ya kurudi makwao...kukabiliana na barua za kufukuzwa kazi kwa makocha wao!!!!
Mkuu naona sasa umeanza kupotea kwani huja wasikia madogo wana piga watu 11,15..umeisikia wapi Historia kama hiyo...wachezaji tulio nao kwa sasa hawakuandaliwa wakiwa madogo.. lkn kwa sera ya sasa iko siku tutafika tu na wala siyo miaka mingi labda tupate akina ndolanga wengine pale TFF..kwa nini tusitafute fani zingine jamani?? tuimbeni hata mduara na taarabu kwenye majungu
Daaa..... tunaambiwa mlala hoi anaishi chini ya Dola moja leo mlala hoi huyu kamdu kununua ticket ya TZS 30,000, halafu anataka kuifanya toilet paper!? au nikufurahisha jukwaa?Kama ndo hivyo siendi Taifa kuangalia mpira! Jamani nauza tiketi yangu ya walala hoi ya Tsh 30,000/-, kama hamna mnunuaji, naifanya toilet paper japo ni hard paper. Huu ni upumbavu kabisa, tunawekeza nguvu nyingi kwa mechi ya kirafiki badala ya mechi ya Muhimu. Kama amavubi wametulamba then Brazil watatufanya nini??
Sitaki kwenda kushangilia kufungwa machache, maana tunajua kuwa tutafungwa ila tunaenda kupunguza idadi ya magoli tu! It is so sad, I love my country Tanzania, but I real hate some of my people.