Taifa teule na mataifa

Taifa teule na mataifa

Mshana Jr

Dunia imeanza kudanganywa tangu karne ya pili baada ya wasomi wa mwanzo kuanza kuitumia katika maslahi yao..........(nimechoka usingizi nashindwa kunyumbua vyema)


Lakini la msingi tambua watu wametanguliza maslahi zaidi na kisha wengine wakajitengenezea madhehebu yao wenyewe na kuuzaa ukiristo.....


Kristo = Mtu mpakwa mafuta au aliyewekwa Mfu kwa kuhani.

Vingi tunadanganywa

Angalia leo hata mpagani anasherehekea sikukuu yake na kuiita siku ya kufufuka kristo
Hivi pasaka ni jina la mtu eeh!!?

Jiulize

Leo wangeachwa watu mashariki ya kati wasambaze uislam duniani mataifa ya magaribi yangelikuwa na nguvu za sasa?!

Tizama nguvu kubwa ya kushabikia 25 Dec duniani na nguvu ya Ramadan duniani

Afu tena kaa jiulize

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Italy?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Germany?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi England?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Marekani?

(usingizi nashindwa hata kufafanua vyema kesho kukikuchwa vyema tuangalie uhalali wetu na umiliki wa bustani ya edeni na siri hasa ya bonde la ufa afu tujiulize je bado hatuko tayari kusimamia historia ya kweli na mwanzo wa chimbuko la dini yetu?!")

zitto junior hearly
 
Na kama kuna watu wanamkataa yesu kwa nguvu zote Duniani basi ni waisrael wale Jewish. Sijui kwanini bado wanaqualify kuwa taifa teule then watu wa pale Mbeya waliokoka mkoa mzima wanakuwa watu wa mataifa? Inanivuruga kichwa hii!

Its injustice!
hahahh et mbeya mkoa mzima wameokoka

me nliishi mbeya mwaka na nusu lkn ckuwah bahatika kuona msikiti
 
Nimecheki ni kweli sijaona ila kuna andiko lianataja China ama mashariki ya mbali... Kitu kama hicho.....
Kuwa na hakika na kitu ama uliza Kama umesahau au umetatizika kuhusu jambo

Kumbuka watakuja watu kuuliza hiko kitu na ukawa huna majibu ya msingi utaibua hoja msigano ndani ya uzi wako mzuri na tukajikuta tuna hama kwenye mada husika

Hope umeelewa na umejua ulipoteleza
 
Mkuu labda umechanganya na ile hadithi ya Mtume Muhammad [SAW] aliposema

"Itafuteni elimu ijapokuwa iko katika miji ya China, kwani kutafuta elimu ni wajibu (lazima) juu ya kila Mwislamu"

Akihimiza waumini waitafute elimu hata kama ipo mbali kiasi gani.
Naamini ndio hili andiko nililochanganya asante kwa ufafanuzi huu
 
Mshana Jr

Dunia imeanza kudanganywa tangu karne ya pili baada ya wasomi wa mwanzo kuanza kuitumia katika maslahi yao..........(nimechoka usingizi nashindwa kunyumbua vyema)


Lakini la msingi tambua watu wametanguliza maslahi zaidi na kisha wengine wakajitengenezea madhehebu yao wenyewe na kuuzaa ukiristo.....


Kristo = Mtu mpakwa mafuta au aliyewekwa Mfu kwa kuhani.

Vingi tunadanganywa

Angalia leo hata mpagani anasherehekea sikukuu yake na kuiita siku ya kufufuka kristo
Hivi pasaka ni jina la mtu eeh!!?

Jiulize

Leo wangeachwa watu mashariki ya kati wasambaze uislam duniani mataifa ya magaribi yangelikuwa na nguvu za sasa?!

Tizama nguvu kubwa ya kushabikia 25 Dec duniani na nguvu ya Ramadan duniani

Afu tena kaa jiulize

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Italy?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Germany?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi England?

Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Marekani?

(usingizi nashindwa hata kufafanua vyema kesho kukikuchwa vyema tuangalie uhalali wetu na umiliki wa bustani ya edeni na siri hasa ya bonde la ufa afu tujiulize je bado hatuko tayari kusimamia historia ya kweli na mwanzo wa chimbuko la dini yetu?!")

zitto junior hearly
Asante sana kuna kona nyingi umegusia hapo... Zitahitaji uchambuzi wetu wenyewe bila kutegemea wala kuegemea mabandiko na vyanzo vya wazungu...
CC : Che mittoga
 
Kuwa na hakika na kitu ama uliza Kama umesahau au umetatizika kuhusu jambo

Kumbuka watakuja watu kuuliza hiko kitu na ukawa huna majibu ya msingi utaibua hoja msigano ndani ya uzi wako mzuri na tukajikuta tuna hama kwenye mada husika

Hope umeelewa na umejua ulipoteleza
Asante hata kwa ufafanuzi ule pia... Nimekuwa mkweli kwamba kuna mahali nilitatizika
 
Huu uzi unavutia sana comments zake , naomba niwe mpenzi msomaji tu. Jamii forum kisima cha Maarifa
 
Mkuu Mshana Jr kwa maoni yangu kwa reference ya bible/apocrypha na vitabu vya kiyahudi... Ni kwamba baada ya gharika tunaona dunia nzima yaani familia ya Nuhu ilikuwa inamuabudu Mungu mmoja ila baadae alipokuja wasumeria wakaanza ibada za masanamu huko shinar chini ya mfalme Nimrod ambaye aliweza kushawishi koo za Ham na Japhet kumfuata ila ukoo wa shem pekee ndio baadhi walibaku kumuabudu Mungu

Sasa Mungu akajinasibisha kupitia shem baada ya mnara wa babeli maana dunia nzima ilishaanza kuabudu masanamu..... Kupitia shem ndipo Abraham anazaliwa na anaishi kwenye pango kwa shem na kufundishwa habari za MUNGU wa kweli na alipotoka hapo aliweza kusimama katika imani na hilo likapelekea Mungu kuendelea kujitambulisha dunia kupitia ukoo wa SHEM na hilo likaendelea hadi Abraham then Yakobo mpaka Israel iliyofuata

HOWEVER baada ya wayahudi kumkana Mungu na kuanza kufanya waliyokatazwa Mungu akawalaani na kuwapa hukumu ikiwemo kuwatawanya duniani.... Kwenda utumwani na kushambuliwa na magonjwa kibao hivyo baada ya Israel kufanya uasi Mungu akaendeleza agano na abraham ila kulingana na maandiko wote wenye imani kwa Mungu wanakuwa uzao wa abraham by default na Yesu alipigilia msumari wa mwisho maana alileta wokovu kwa mataifa yote hivyo wanadamu wote tumekuwa taifa teule sio israel tena maana leo hii Mungu anaabudiwa dunia nzima tofauti na enzi hizo kila nchi ilikuwa na ibada zake na miungu yake

So kwa maoni yangu wanadamu wote tumekuwa taifa teule ila Israel ni mambo ya agano la kale tu na unabii wa siku za mwisho ila wote tupo sawa sasa na waisrael wanaofanya maasi na kutesa watu huko palestina wataonja moto wa jehanum kama kawaida unless na wenyewe wamrudie MUNGU wa kweli

Ni hayo tu

Labda niite wataalam wa historia na maandiko waje wanirekebishe ili tujifunze zaidi

Cc Malcom Lumumba tikakami wa lopelope chabuso blackstarline popbwinyo hearly
 
Mkuu Mshana Jr kwa maoni yangu kwa reference ya bible/apocrypha na vitabu vya kiyahudi... Ni kwamba baada ya gharika tunaona dunia nzima yaani familia ya Nuhu ilikuwa inamuabudu Mungu mmoja ila baadae alipokuja wasumeria wakaanza ibada za masanamu huko shinar chini ya mfalme Nimrod ambaye aliweza kushawishi koo za Ham na Japhet kumfuata ila ukoo wa shem pekee ndio baadhi walibaku kumuabudu Mungu

Sasa Mungu akajinasibisha kupitia shem baada ya mnara wa babeli maana dunia nzima ilishaanza kuabudu masanamu..... Kupitia shem ndipo Abraham anazaliwa na anaishi kwenye pango kwa shem na kufundishwa habari za MUNGU wa kweli na alipotoka hapo aliweza kusimama katika imani na hilo likapelekea Mungu kuendelea kujitambulisha dunia kupitia ukoo wa SHEM na hilo likaendelea hadi Abraham then Yakobo mpaka Israel iliyofuata

HOWEVER baada ya wayahudi kumkana Mungu na kuanza kufanya waliyokatazwa Mungu akawalaani na kuwapa hukumu ikiwemo kuwatawanya duniani.... Kwenda utumwani na kushambuliwa na magonjwa kibao hivyo baada ya Israel kufanya uasi Mungu akaendeleza agano na abraham ila kulingana na maandiko wote wenye imani kwa Mungu wanakuwa uzao wa abraham by default na Yesu alipigilia msumari wa mwisho maana alileta wokovu kwa mataifa yote hivyo wanadamu wote tumekuwa taifa teule sio israel tena maana leo hii Mungu anaabudiwa dunia nzima tofauti na enzi hizo kila nchi ilikuwa na ibada zake na miungu yake

So kwa maoni yangu wanadamu wote tumekuwa taifa teule ila Israel ni mambo ya agano la kale tu na unabii wa siku za mwisho ila wote tupo sawa sasa na waisrael wanaofanya maasi na kutesa watu huko palestina wataonja moto wa jehanum kama kawaida unless na wenyewe wamrudie MUNGU wa kweli

Ni hayo tu

Labda niite wataalam wa historia na maandiko waje wanirekebishe ili tujifunze zaidi

Cc Malcom Lumumba tikakami wa lopelope chabuso blackstarline popbwinyo hearly
@zitto junior uko vizuri sana mtaa huu na historia ya dunia kiimani kupitia misahafu unaijua vema! Kudos brother [emoji106] [emoji115]
 
Ukiangalia kwa undani zaidi haya masuala utagundua kuna watu wametuzidi kete sisi weusi kwenye kuandika haya mambo maana kitaalamu its the one with pen who control the story.

Waliopata fursa ya kuandika juu ya haya mambo wamewamba sana hii ngoma kuvutia kwao.

Ila when you check it in your sense unagundua hata Dunia ilivyo watu walioanza walikuwa weusi then watu weupe wakapatikana kutokana na environment factors... Wazungu wamekuwa wazungu kwa kukaa sehemu yenye baridi sana. But probably walikuwa weusi mwanzoni then kutokana na kusafiri zaidi na kufika Europe wakajikuta wako weak in melanin and hair.

Ndio maana watu wa afrika wana nywele ngumu na ngozi ngumu ili kuzuia jua kuwadhuru. Thus maisha yalianzia afrika then watu walipotawanyika wakaadapt kulingana na environmental reasons.

Kuna mengi sana hatuyajui kwenye hii Dunia. Sema waliopata nafasi ya kuandika ndio wametu control kwa maandishi yao.
Kwahiyo mkuu ht mweusi akikaa sana hizo nchi anakua mzungu ee au?..nipe elimu kdgo
 
Yeah hii scientifically imekaa sawa kabisa that's why watu weusi wanaweza kukaa mahala popote duniani...niliwahi kufuatilia baadhi ya watu waliokua masikini kabla ambavyo walikua weusi tiiiiii then maisha yalipowanyookea maybe kuishi nchi za baridi na ngozi zao zikanawiri na ule weusi haukua weusi kama wa awali so probably enzi hizo that's what happened

Hata huko China si kuna wakati wanadai mchina asilia alikua mtu mweusi so what happened I don't know either
Rangi ya mzungu unaijua mkuu?!..so what about waarabu na hiyo baridi?!
 
Israel ndio inajulikana kama taifa teule la Mungu na kuna ushahidi mwingi mitandaoni kuwa dunia ilianzia mashariki ya kati....

Mengi yanayoandikwa kuhusu hizi dini mbili zinazomtambua Mungu mmoja... Yana asili na mashariki ya kati... Mitume manabii masinagogi, historia na kumbukumbu nyingi za ulimwengu wa imani na kwa sehemu historia chimbuko lake ni mashariki ya kati....

Rejea mada ya Je dunia ilianzia mashariki ya kati? ... Kuanzia maisha ya Eden mpaka gharika ya Nuhu na kuangamizwa kwa sodoma na gomora... Haya yote hayatoki nje ya hapo

Unapoendelea kusoma historia ya dunia kiimani na vitabu vya dini.. Kuna kaliba inapewa nafasi ya 'wa mataifa'.... Yaani kwa tafsiri rahisi wale wa nje ya mashariki ya kati...! Nje ya Israel!

Tuna hizi dini tulizoletewa Afrika na wazungu na waarabu.. Uislam bado una asili na mashariki ya kati... Ukristo ulifikaje ulaya kwa wageni wa dunia (wazungu)? Kisha pengine wakauchakachua kishapo ndio wakatuletea sisi? Hili hojaji linahitaji mjadala wake tofauti?

Lakini kwa sasa kuna maswali yanahitaji majibu ili kujiridhisha na hizi imani zetu

. Je wale wote walio nje ya mashariki ya kati ndio wa mataifa?

. Je kwanini kwenye Biblia takatifu China inatajwa kipekee? Katika kitabu cha mithali kwenye kutafuta maarifa watu wanaaswa wafike hata China?

. Je mpango mkakati wa Injili kwa watu wote (wa mataifa) ya kuwahubiria neno la Mungu watubu na kuokoka... Tafsiri yake ni ipi? Je hawa hawakuwa sehemu ya uumbaji wake?

. Je wapagani wanaohitaji kuhubiriwa injili.. Si wakazi wa dunia hii?
Historia ya Israel...

Nguvu waliyo nayo utabiri wa kurejea nyumbani... Namna yao ya kuabudu nakuamini tofauti na imani nyingine ni kama vile inatoa picha kuwa hata wazungu ni watu wa mataifa na si sehemu ya taifa teule! ?
Shukrani mkuu hizi ndio mada za kujifunza sana although mie nikijiuliza wanasali/swali wakasema wameona muhammad/yesu kawatokea je wanaweza kutupa ushuhuda kuwa hao waliowaona ni kabila/race/rangi gani?!!..mzungu,mwarabu au mweusi?!
 
Mkuu Mshana Jr kwa maoni yangu kwa reference ya bible/apocrypha na vitabu vya kiyahudi... Ni kwamba baada ya gharika tunaona dunia nzima yaani familia ya Nuhu ilikuwa inamuabudu Mungu mmoja ila baadae alipokuja wasumeria wakaanza ibada za masanamu huko shinar chini ya mfalme Nimrod ambaye aliweza kushawishi koo za Ham na Japhet kumfuata ila ukoo wa shem pekee ndio baadhi walibaku kumuabudu Mungu

Sasa Mungu akajinasibisha kupitia shem baada ya mnara wa babeli maana dunia nzima ilishaanza kuabudu masanamu..... Kupitia shem ndipo Abraham anazaliwa na anaishi kwenye pango kwa shem na kufundishwa habari za MUNGU wa kweli na alipotoka hapo aliweza kusimama katika imani na hilo likapelekea Mungu kuendelea kujitambulisha dunia kupitia ukoo wa SHEM na hilo likaendelea hadi Abraham then Yakobo mpaka Israel iliyofuata

HOWEVER baada ya wayahudi kumkana Mungu na kuanza kufanya waliyokatazwa Mungu akawalaani na kuwapa hukumu ikiwemo kuwatawanya duniani.... Kwenda utumwani na kushambuliwa na magonjwa kibao hivyo baada ya Israel kufanya uasi Mungu akaendeleza agano na abraham ila kulingana na maandiko wote wenye imani kwa Mungu wanakuwa uzao wa abraham by default na Yesu alipigilia msumari wa mwisho maana alileta wokovu kwa mataifa yote hivyo wanadamu wote tumekuwa taifa teule sio israel tena maana leo hii Mungu anaabudiwa dunia nzima tofauti na enzi hizo kila nchi ilikuwa na ibada zake na miungu yake

So kwa maoni yangu wanadamu wote tumekuwa taifa teule ila Israel ni mambo ya agano la kale tu na unabii wa siku za mwisho ila wote tupo sawa sasa na waisrael wanaofanya maasi na kutesa watu huko palestina wataonja moto wa jehanum kama kawaida unless na wenyewe wamrudie MUNGU wa kweli

Ni hayo tu

Labda niite wataalam wa historia na maandiko waje wanirekebishe ili tujifunze zaidi

Cc Malcom Lumumba tikakami wa lopelope chabuso blackstarline popbwinyo hearly
Sawa Mkuu,sote tuko sawa kwa Mungu,isipokuwa Bani Israel wao walichaguliwa kama binaadamu wa kusambaza yale aliyoyataka Mungu,yaani kuabudu Mungu mmoja na kufuata sharia zake..

Mapenzi ya Mungu kwa Bani Israel,na ule uteule aliowapa wa kusambaza aliyoyaamuru kayaondoa kwasababu hawa jamaa wameshindwa kuyafanya yale anayoyataka Mungu,Hawa jamaa wamelaaniwa,hakuna hata Mtume mmoja walioletewa wakamkubali…

Baada ya kumkana Musa,Bani Israel(Wayahudi) walikuwa wanasubii Masaya(Kristo kwa lugha ya kigiriki),Mungu akawaletea Masaya(Yesu aka Isa aka Iso aka Yoshua aka Jesus) lakini hata hivyo wakamkejeli na kumsulubu Msalabani..

Kuna watanzania humu JF wanafikiri dini ya kiyahudi(Hebrew) inamkubali Yesu(Isa) lakini hawajui kuwa Wayahudi wa kale na hawa wa sasa hawana habari kabisa na Yesu kwao wao wanamuona Yesu tapeli,mzushi tu..

Kutokana na Kukataa na kuwakejeli Mitume,Mungu kaahidi kwenye Quran kuwa,wale wataowakejeli na kuwakataa Mitume atawaondoa na kuwachagua Wengine,Mungu kamleta Muhamad ambae ni mtume pekee ambae sio Myahudi,Muhamad kafundisha yale yale aliyoyaleta Musa sema akasawazisha mengine na kuzidisha yale yaliokuwa hayajamaliza kuyafundisha Isa(Yesu)...
 
Sawa Mkuu,sote tuko sawa kwa Mungu,isipokuwa Bani Israel wao walichaguliwa kama binaadamu wa kusambaza yale aliyoyataka Mungu,yaani kuabudu Mungu mmoja na kufuata sharia zake..

Mapenzi ya Mungu kwa Bani Israel,na ule uteule aliowapa wa kusambaza aliyoyaamuru kayaondoa kwasababu hawa jamaa wameshindwa kuyafanya yale anayoyataka Mungu,Hawa jamaa wamelaaniwa,hakuna hata Mtume mmoja walioletewa wakamkubali…

Baada ya kumkana Musa,Bani Israel(Wayahudi) walikuwa wanasubii Masaya(Kristo kwa lugha ya kigiriki),Mungu akawaletea Masaya(Yesu aka Isa aka Iso aka Yoshua aka Jesus) lakini hata hivyo wakamkejeli na kumsulubu Msalabani..

Kuna watanzania humu JF wanafikiri dini ya kiyahudi(Hebrew) inamkubali Yesu(Isa) lakini hawajui kuwa Wayahudi wa kale na hawa wa sasa hawana habari kabisa na Yesu kwao wao wanamuona Yesu tapeli,mzushi tu..

Kutokana na Kukataa na kuwakejeli Mitume,Mungu kaahidi kwenye Quran kuwa,wale wataowakejeli na kuwakataa Mitume atawaondoa na kuwachagua Wengine,Mungu kamleta Muhamad ambae ni mtume pekee ambae sio Myahudi,Muhamad kafundisha yale yale aliyoyaleta Musa sema akasawazisha mengine na kuzidisha yale yaliokuwa hayajamaliza kuyafundisha Isa(Yesu)...
Swadakta kwa asilimia 100% na hili halina shaka...na watu wengi wamekuwa wagumu sana kulielewa hili hasa huku Africa..
 
Shukrani mkuu hizi ndio mada za kujifunza sana although mie nikijiuliza wanasali/swali wakasema wameona muhammad/yesu kawatokea je wanaweza kutupa ushuhuda kuwa hao waliowaona ni kabila/race/rangi gani?!!..mzungu,mwarabu au mweusi?!
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom