Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,119
Mshana Jr
Dunia imeanza kudanganywa tangu karne ya pili baada ya wasomi wa mwanzo kuanza kuitumia katika maslahi yao..........(nimechoka usingizi nashindwa kunyumbua vyema)
Lakini la msingi tambua watu wametanguliza maslahi zaidi na kisha wengine wakajitengenezea madhehebu yao wenyewe na kuuzaa ukiristo.....
Kristo = Mtu mpakwa mafuta au aliyewekwa Mfu kwa kuhani.
Vingi tunadanganywa
Angalia leo hata mpagani anasherehekea sikukuu yake na kuiita siku ya kufufuka kristo
Hivi pasaka ni jina la mtu eeh!!?
Jiulize
Leo wangeachwa watu mashariki ya kati wasambaze uislam duniani mataifa ya magaribi yangelikuwa na nguvu za sasa?!
Tizama nguvu kubwa ya kushabikia 25 Dec duniani na nguvu ya Ramadan duniani
Afu tena kaa jiulize
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Italy?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Germany?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi England?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Marekani?
(usingizi nashindwa hata kufafanua vyema kesho kukikuchwa vyema tuangalie uhalali wetu na umiliki wa bustani ya edeni na siri hasa ya bonde la ufa afu tujiulize je bado hatuko tayari kusimamia historia ya kweli na mwanzo wa chimbuko la dini yetu?!")
zitto junior hearly
Dunia imeanza kudanganywa tangu karne ya pili baada ya wasomi wa mwanzo kuanza kuitumia katika maslahi yao..........(nimechoka usingizi nashindwa kunyumbua vyema)
Lakini la msingi tambua watu wametanguliza maslahi zaidi na kisha wengine wakajitengenezea madhehebu yao wenyewe na kuuzaa ukiristo.....
Kristo = Mtu mpakwa mafuta au aliyewekwa Mfu kwa kuhani.
Vingi tunadanganywa
Angalia leo hata mpagani anasherehekea sikukuu yake na kuiita siku ya kufufuka kristo
Hivi pasaka ni jina la mtu eeh!!?
Jiulize
Leo wangeachwa watu mashariki ya kati wasambaze uislam duniani mataifa ya magaribi yangelikuwa na nguvu za sasa?!
Tizama nguvu kubwa ya kushabikia 25 Dec duniani na nguvu ya Ramadan duniani
Afu tena kaa jiulize
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Italy?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Germany?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi England?
Je, kuna Mtume yoyote alizaliwa au kuishi Marekani?
(usingizi nashindwa hata kufafanua vyema kesho kukikuchwa vyema tuangalie uhalali wetu na umiliki wa bustani ya edeni na siri hasa ya bonde la ufa afu tujiulize je bado hatuko tayari kusimamia historia ya kweli na mwanzo wa chimbuko la dini yetu?!")
zitto junior hearly