Kwa wale wanaoamini Yesu ni Mungu,katika kusoma kwangu leo nimeona kisa chengine kwenye Biblia ambacho Yesu kasema kwa mdomo wake kuwa yeye ni Binaadamu aliuetumwa na Mungu kuja kuwakoa wana waisrael walioptea..
Kisa Yesu alikuwa akielekea Jerico,mji mmoja pale Palestina akiwa amezungukwa na watu wengi sana wakimshangilia,Njiani alikutana na mtu mmoja Tajiri sana analieitwa Zakayo,Zakayo alimkaribisha Yesu kwake,wafuasi wa Yesu walikuwa wakimfuata na kumshangilia walikasirika sana kuona Yesu amekuwa mgeni wa mtenda dhambi..
Siku ile Zakayo alimuahidi Yesu kuwa atagawa nusu ya mali yake kwa maskini,nae Yesu akasema kamainavyosema Luka 19:9-10
Luka 19:9-10 Neno: Bibilia Takatifu
” 9 Yesu akamwambia, “Leo, uwokovu umeingia nyumba hii, kwa sababu huyu naye ni mtoto wa Ibrahimu. 10 Kwa maana mimi ni Mwana wa Adamu nimekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”..
Kumbuka kuwa Yesu amesema vile vile kwa wafuasi wake kuwa katumwa na Mungu kwa wana wa Israel tu kama isemavyo biblia Matthew 15:24,pale alipomfukuza na kukataa kumtibu binti wa yule mama ambae alikuwa sio Myahudi…
Matayo 15:24 Neno: Bibilia Takatifu
24 Akajibu, “Nimetumwa kwa ajili ya kondoo wa Israeli(Wayahudi) waliopotea tu.”
Hii inaonyesha vipi Yesu(Isa) yeye mwenyewe hakujipa cheo cha uungu,,,kuna mistari mingi kwenye biblia inayothibitisha hayo,vile vile kuna mistari inayoongea vipi atakuja kuwa kuwapinga wale waliosingia maovu kama haya...